Wasifieni Wanawake zenu...

Wasifieni Wanawake zenu...

Kumbe sio Bwana Yesu tu wa kupewa sifa![emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna.mawili nmekutaman ulivo so lazima nihakikishe nakuchapa nao.


Au nahitaj uwe mke hapo lazima nihakikishe nakupata

Ikitokea nmekukosa poa.


Kwan unaweza acha kwenda kusali ,kisa tu unajua Askofu anatuhuma chafu ???.


Ndo ivo sasa, sio lazima kuwapata lkn ntongozi upo palepale
Alaah Kumbe
 
Hizi sifa kedekede sio za nchi hii Wala nashukuru kwa kuliona hilo kwangu I'm happy you know.
Wewe usikate tamaa utapata tu aliye sahihi
Naelewa hilo vizuri kabisa bwana singasinga. Ni vizuri ume express feelings zako kwa uwazi I like that.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkoa flani hivi amazing ikawa mixed flani hivi
Hahaaa ngoja nijiandae kwenda Mumbai
My dear hii ni JF
Nakushauri usije ukajichanganya
 
My dear hii ni JF
Nakushauri usije ukajichanganya
Naijua mkuu na Niko careful Sana than more careful hasa misimamo yangu imenijengea chuki na hushambuliwa Hadi nimezoea na sitarajii kukutana na wanaume wa humu wamechoka hawana mbele Wala nyuma, sifa tu za uanaume hawana kabisa.
So hapo wajibaraguza tu
 
Naijua mkuu na Niko careful Sana than more careful hasa misimamo yangu imenijengea chuki na hushambuliwa Hadi nimezoea na sitarajii kukutana na wanaume wa humu wamechoka hawana mbele Wala nyuma, sifa tu za uanaume hawana kabisa.
So hapo wajibaraguza tu
Umeona eenh! Wanakuchukia ila watajifanya kukupenda ili wakufahamu wakuone jinsi ulivyo ikiwezekana wakukule kimasihara halafu waje waambizane humu hawana lolote hao!

Hakuna mwanaume wa humu anayefurahishwa na hii misimamo yetu hayupo hata mmoja wasije wakakudanganya eti wanakuelewa! Halafu na hizi id ngeni zinazokuja pm ziogope sana au zile id unakuta ni ya muda mrefu ila ina posts chache yaani nyingi zinakuwaga ni subtitute ids zao!
 
Umeona eenh! Wanakuchukia ila watajifanya kukupenda ili wakufahamu wakuone jinsi ulivyo ikiwezekana wakukule kimasihara halafu waje waambizane humu hawana lolote hao!

Hakuna mwanaume wa humu anayefurahishwa na hii misimamo yetu hayupo hata mmoja wasije wakakudanganya eti wanakuelewa! Halafu na hizi id ngeni zinazokuja pm ziogope sana au zile id unakuta ni ya muda mrefu ila ina posts chache yaani nyingi zinakuwaga ni subtitute ids zao!
Dah! Dada Karma umeongea speech kabisa ila mimi kwa upande wangu nimeshalijibia juu hapo
Na nna muda jf ila hata ukipitia post zangu utagundua simlaghai kabisa huyu dada bali nna nia nae maana nimekua kwenye changamoto sana za kukutana na Wrong Choices

But as i said above sina namna ya kubadili uhalisia kwamba tumekutana jf na hawezi waza hapa ni kanisani or wherever sababu mmeshaweka security mindset
 
Umeona eenh! Wanakuchukia ila watajifanya kukupenda ili wakufahamu wakuone jinsi ulivyo ikiwezekana wakukule kimasihara halafu waje waambizane humu hawana lolote hao!

Hakuna mwanaume wa humu anayefurahishwa na hii misimamo yetu hayupo hata mmoja wasije wakakudanganya eti wanakuelewa! Halafu na hizi id ngeni zinazokuja pm ziogope sana au zile id unakuta ni ya muda mrefu ila ina posts chache yaani nyingi zinakuwaga ni subtitute ids zao!
KWA kweli sijawa reject kiasi ni hangaike na wanaume wa humu kichwani tu hamnazo hawana mbele Wala nyuma watajifanya wananipenda then wasambaze taarifa humu za uongo ili waonekane vidume vishenzi, then niki comments waanze matusi kwa ma I'd yao mengine na matusi juu as if Mimi ndio nimewaambia wawe na life ngumu. Kuna mjinga mmoja walianzisha trend ya kunitukana kwa I'd tofauti kisa ninacho comments hata hawapendi kwenda huko tafta taarifa za uongo kufuraisha waja wa humu wakifikiria Nita quit JF kwa kunishambulia na kuweka ya JF, ndio Kwanza nazidi kudunda humu sijali la Yesu Wala la mswalia mtume msimamo wangu uko palepale, I won't change na ningekuwa navulia watu kyupi humu wangeshapata sababu sasa hawana, watazidi kuniona tu humu Mimi ka nilivo ndimu mkata shombo.

So pia JF sikuhizi imevamiwa na wapuuzi tofauti na huko nyuma mijadala iliheshimiwe hakukuwa na kutukanana mods waliondoa kila tusi na personal attack ili sikuhizi kupo kupo tu watu Wana ma stress yao ya life.
Dah Mimi nitaendelea kuwa yule yule nisiyeogopa mtu humu na msimamo wangu ule ule, na hao wanaume wasiojielewa ka wanajiamini wangenifata kweli sio kuhangaika na ma I'd mia humu
 
Dah! Dada Karma umeongea speech kabisa ila mimi kwa upande wangu nimeshalijibia juu hapo
Na nna muda jf ila hata ukipitia post zangu utagundua simlaghai kabisa huyu dada bali nna nia nae maana nimekua kwenye changamoto sana za kukutana na Wrong Choices

But as i said above sina namna ya kubadili uhalisia kwamba tumekutana jf na hawezi waza hapa ni kanisani or wherever sababu mmeshaweka security mindset
Wanaume wenzako huja na gear hyo hyo then baadae wanaanza uzalilishaji wao wa kijinga sijui hunifikiria nikoje, kumbe wakawaida tu
 
Ni kweli natambua sio Humu tu,ulaghai upo hata wanaume wa nje ya jf,sio wanaume pekee hata wanawake pia na mimi nikiwa muhanga wa hili mara zote,hadi nawaza nitangaze kustaafu kabla hata sijaoa.

Kwa hiyo Kikubwa ni imani maana hata waliooana first huwa ni hatua hizi hizi maana moyo ungekua na zipu atleast ukweli ungejulikana ila now ni fumbo na tunaishi kwa imani.

So tafadhal niamini cariha [emoji21]
 
Ni kweli natambua sio Humu tu,ulaghai upo hata wanaume wa nje ya jf,sio wanaume pekee hata wanawake pia na mimi nikiwa muhanga wa hili mara zote,hadi nawaza nitangaze kustaafu kabla hata sijaoa.

Kwa hiyo Kikubwa ni imani maana hata waliooana first huwa ni hatua hizi hizi maana moyo ungekua na zipu atlest ukweli ungejulikana ila now ni fumbo na tunaishi kwa imani.

So tafadhal niamini cariha [emoji21]
Wewe kukutana na strange people mtandaoni ni changamoto najipenda nilivo humu JF wote ninao wa fahamu wamekuwa hasara kuliko faida plus maneno juu.
 
Wewe kukutana na strange people mtandaoni ni changamoto najipenda nilivo humu JF wote ninao wa fahamu wamekuwa hasara kuliko faida plus maneno juu.
Yani me kiukweli kwa jinsi ambavo namuona mwanamke kama shujaa wa maisha yangu mpaka sasa hivi
Sikupaswa kutendewa hivi,ila ndio hivo penye miti siku zote hapana wajenzi
 
Wake zetu huwa wanapenda tuwasifia mpaka hufikia wakati wanazitafuta sifa na usipomsifia anakupa dongo, huwa wanasema :

1. "Hata kunisifia leo nimepika vizuri ? "(Hapo amepika chakula kitamu).

2. "Mwanaume upo kama lidudu, hata kunisifia."

Acha tuwasifie tu wake zetu, sababu wanapenda kusifiwa.

Tanbihi
Ila vijana msije kumsifia mwanamke mwingine mbele ya mkeo, hili huwa linabaki kama deni.
 
Yani me kiukweli kwa jinsi ambavo namuona mwanamke kama shujaa wa maisha yangu mpaka sasa hivi
Sikupaswa kutendewa hivi,ila ndio hivo penye miti siku zote hapana wajenzi
Pole yakupasa utulie ujipe likizo na ijitafakari Kwanza na kabla ya kuanza mahusiano uwe makini sana
 
Usikate Tamaa, hawa huwa ni wagumu mwanzo,ukilegeza inatoka, ila ukikomaa naye komaa mwezi ivi lazima alainike.


Tunawaona huku !!!

Hata awe mgumu vipi, huko PM atalainika, Atataman mjuane, atataman umjueee .


Sema kwakua ni JF, unakuta hapo Unatongoza mwanaume mwenzako.....hii ndo changamoto .



Akikuzungusha sanaaaaaa, ACHANA NAYE ,kuna watu huwa wanafukuzia upungufu wa kinga mwilin kwa nguvu zao zote, kwa moyo wote, Akili yote, nguvu zote mpaka analia nakutoa machozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka Roberto angalau hata huko chemba kwake pangekua panafikika labda tungeweza jadiliana kwa kiasi,
Ila kapafunga so kila kitu kinaishia hapa hapa.

Kuhusu jinsia sina shaka kabisa huyu ni mwanamke tena pure raised african
 
Back
Top Bottom