Umeona mkuu! Katuni za jamaa hazina Maandishi na inabidi uwe mzuri kichwani kuelewa!kweli mkuu kama yule " Kingo " wa James Gayo
Sure mkuu.Ni kweli mkuu, kuhamisha kitu kutoka kwenye mawazo na kukiweka katika mchoro sio kitu kila mtu unaweza, ndio maana kila mtu mwenye kipaji cha kuchora anakua na akili na ubunifu, ukichanganya na shule ndio inakua habari japo kipaji hakina mahusiano ya moja kwa moja na shule
Wenzio huko mbele wanasali kwenye mazulia ya ukweli, sio huku bongo wanaswali kwenye mkeka uliochokaaa.Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani, wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...
van katika ubora wakoWatu wanaulizia CV wewe unakuja na sijda...kumfuatilia mtu kiasi hicho ni dalili za uchawi...
van katika ubora wako
uko wapi ndugu yangu siku hizi umepotea sana
yaani tumepoteana sana bestNipo my dear...tumepoteana siku. ndoa inakubana nini
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mkuu umenifurahisha sana aiseeWatu wanaulizia CV wewe unakuja na sijda...kumfuatilia mtu kiasi hicho ni dalili za uchawi...
Kwa uzoefu wako ndo hivyo?Nimecheka sanavhasa baada ya kukumbuka kuwa kuna watu wana alama mwilini kwa kuwa wana tabia ya kupata ajali
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mkuu umenifurahisha sana aisee
yaani tumepoteana sana best
si unajua ukiwa kwenye ndoa laizima uwajibike sana mpaka muda mwingine wa kuwa humu unaingia kwa kubeep
vipi shughuli zako zinakwendaje best
Kweli mkuu umenipunguzia stress kwa mudaMaisha mafupi haya ndugu yangu...ni vyema na haki kufurahi
Sasa malawi na zambia ni nje?
Connection na cv ipo hapo kweliNashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...
wabongo kweli kiboko, kutoka kwenye kipaji mpaka Imani za kidini.Nashangaa siku hizi anasjida kubwa usoni!Wakati ameanza kusali ukubwani tu..kitu kinanishangaza sana..watu waliozaliwa Saudi Arabia au Dubai ..ambao huwa wameanza kusali toka wakiwa wadogo hawana sijda, lakini wabongo ambao wameijua dini ukubwani,wanasugua uso makusudi mpaka itokee sijda ili waonekane ni watu wadini.Ajabu sana...
what has psychology got to do with a person's curriculum Vitae? just be a sport and admit that u went of topic na chuki yako ya sijda. With all due respect I think your are the one with some psychological and religious issues here.Alama za mwili zinaletwa na tabia...wewe huwezi jua. Sometimes its more psychological...
sijda nayo ni cvWatu wanaulizia CV wewe unakuja na sijda...kumfuatilia mtu kiasi hicho ni dalili za uchawi...
Watu wanaulizia CV wewe unakuja na sijda...kumfuatilia mtu kiasi hicho ni dalili za uchawi...
Kumbe CV inahusisha hadi alama za mwili...asante sana kwa elimu mkuu...
Nilikuwa muhogo zamani nashukuru kama umegundua nimebadilika na kuwa kiazi.
Ishu ya dini niliisha itolea ufafanuzi hapo juu...I love Islam, ni dini yenye kuweka misingi imara ya Amani na upendo wa hali ya juu. Ninaweza OBSERVE kitu kwa mtu nikaamua kukiongelea hicho...watu wote hatuwezi kuwa tunadiscuss vyeti vya elimu tu mwanzo mwisho,kana kwamba cv ya mtu ni vyeti...ndo maana kwenye curriculum vitae (CV) unaandika wewe ni raia wa nchi gani,dini gani,umeoa/umeolewa,hobby zako ni nini...CV ni kitu kinawasaidia wasaili wakujue wewe ni mtu wa namna gani kabla ya kukusikiliza ukijieleza binafsi...Hivyo sijatoka nje ya topic,ila ni uelewa wako tu wa mambo ni mdogo sana..what has psychology got to do with a person's curriculum Vitae? just be a sport and admit that u went of topic na chuki yako ya sijda. With all due respect I think your are the one with some psychological and religious issues here.