Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Ametulinda amekuwa Mungu? Jisemee nafsi yako Ww Kama alikulinda,binafsi Nalindwa na damu ya Yesu maandiko ninayoamini yananiambia "bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure" na tena "amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake".
Usitutafutie laana,jipe mwenyewe
 
Pumba
 
Soma kwa kuelewa bwashee,

Najua mida hii una kisado cha mbege pembeni.
Inaonesha wewe ndie hujaelewa ulichoandika mwenyewe!!!

Wewe na Magu wako mmehoji kwamba ikiwa Dr. Mwinyi kaweza kutulinda Tanzania yote, ndo ashindwe kuiongoza Zanzibar!!!

Mdau akahoji:-

Ameweza kutulindaje?
Maana wanaofanya hiyo kazi ni wengine kabisa. yeye ni mratibu tu.
Usiandike as if yeye ndio CDF.
Kwake anaamini kazi ya ulinzi inafanywa na wengine kabisa, hususani CDF na timu yake na sio Mwinyi ambae ni waziri tu! Ndipo nawe ukajibu:-
Hayo ni maelezo ya Amiri jeshi mkuu anayemteua CDF!
Sasa ikiwa hata huyo CDF hateuliwi na waziri, role ya Mwinyi katika kutulinda inatokea wapi hapo?!
 
Bora hata umemuelewesha. Maana haelewi swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…