THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Dr. Hussein kama baba yake tu Mzee ally Hassan Mwinyi muungwana sana na mnyenyekevu.
Na nimekuwa nikisema huyu kaandaliwa muda mrefu sana kuwa kiongozi na kwa hakika ameiva kweli kweli.
Ama kweli huwezi kuokota Embe jini ya Mti wa Mchongoma.
Na nimekuwa nikisema huyu kaandaliwa muda mrefu sana kuwa kiongozi na kwa hakika ameiva kweli kweli.
Ama kweli huwezi kuokota Embe jini ya Mti wa Mchongoma.