sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Labda hawataki.Ngoja tuone!mbona wakina makongoro,madaraka nyerere hawapewi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hawataki.Ngoja tuone!mbona wakina makongoro,madaraka nyerere hawapewi???
ndo nani uyo?Ndiyo maagizo ya Kardinali wako, Pengo hayo ??
Jitie pamba masikioni ni uamuzi wakondo nani uyo?
ushauri usio na garama huo. Mapokezi yake hiari yako.
huyo aliyelainisha kapiga kazi nzitooKarama gani?
Mtu kalainishiwa kila kit, ye kaishia kuingiza tu.
Baada ya kumsikiliza Magufuli anavyoongea, sasa hivi hata ukimdikiliza mtoto wa miaka 12 unaweza kusema ana karama ya uongozi.baada ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya ccm huko visiwani znz nimemfuatilia kwa karibu mazungumzo yake na haswa leo ktk mkutano wa halmashauri kuu ccm nimebani kuwa Hussein ana karama ya uongozi,
hongera sana Hussein Mwinyi,