Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Maana yake hapo kwa Kiingereza tunasema alikuwa ni form four failure! 🤔Kasema kidato cha nne hakufanya vizuri; sijui ni kwa kiwango kipi!
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake hapo kwa Kiingereza tunasema alikuwa ni form four failure! 🤔Kasema kidato cha nne hakufanya vizuri; sijui ni kwa kiwango kipi!
Harakati za nini?Harakati wamefanya kina Bibi Titi Mohamed
Kupigania Uhuru bro ama historia yake huijui! Tukumwagie.Harakati za nini?
Hilo nalo akalitazameSawa
Mungu kamwinua,autumikie wito wake tu alioitiwa,asije akatumikia wito MPYA wa kupambania urais ujao!
KWA maana aridhike na alichopewa na Mungu,atakapopambanaia wito MPYA atakaribisha vita vipya! KWANINI kujichosha ewe mwana wa Suluhu!!!?
Wanaokuimbia mapambio ndio wanaotaka kukufelisha Ili upigane vita vipya ambavyo hukuvipanga kupigana!
Wewe pigania jukumu lako ulilolipokea MUNGU alilokupa usijipe lingine huna cha kupoteza!
Achana nao wanavopambana kwaajili ya huo!!
Wewe maliza kazi kaa pembeni waachie wao waamue kijiti Nani atachukua Baada YAKO!
"Mwambieni asome hii,itamsaidia!!!
Si wengine hatuamini Mungu mazee. Hivyo inabidi ajipange upya kututuliza.Salaam Wakuu.
Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani
Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.
Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).
Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.
Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.
Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.
Msikilize hapa.
View attachment 2437182
Rais Samia Suluhu anatu inspire sana mabinti wengi africa hongera sana mamaSalaam Wakuu.
Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani
Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.
Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).
Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.
Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.
Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.
Msikilize hapa.
View attachment 2437182
Ulitaka kutuambia kuwa hajui kufunga ushungiSalaam Wakuu.
Baba yake Mwalimu Mama yake Mama wa Nyumbani
Leo nimeona nipost hapa Historia kwa ufupi sana wa Samia Suluhu Hassan.
Yeye ni Mwanahabari, hakujua kifunga Ushungi, wanaume walikuwa wana mdhalilisha kwa kumuita kigego, ni mtu ambaye yupo haraka yupo mbele ya wakati, anajua kusoma mazingira yaliyomzunguka. Alipoteuliwa kuwa makamu wa Rais alilia sa na(pata picha na yale macho yake).
Alikuwa hajui kufunga Ushungi hadi alipofundishwa wakati anagombea, alikuwa anaachia nywele hadi wanamuita Lizungu, alikuwa anavaa Suruali sana zaidi ya Sister P.
Samia ukimtukana anakaa kimya hadi mnanisangaa mnaomtukana. Anefanya kazi saa kwenye NGOs hadi alikuwa anasafiri kwa basi Dar hadi Afrika Kusini.
Anasema kufika alipo ni mkono wa Mungu, hata kama humheshimu Samia, basi Mheshimu Mungu aliymfikisha alipo.
Msikilize hapa.
View attachment 2437182
Katiba ipi mkuu! mbona mimi nimesoma katiba nzima sijaona kipengele kama hicho, msiwe mnakurupuka kuchangia vitu ambavyo hamuelewi mtu ukiulizwa hata katiba ya Tanzania ina sura ngapi hujui, alafu unakuja kuwadanganya Watanzania, hebu msiichukulie katiba yetu dhaifu kiasi hicho, katiba ya Tanzania imekamilika tatizo wapinzani hamjachukua madaraka ndio maana mnaona madhaifu tu[emoji3578]Kama nakumbuka vizuri, kuna kipengee cha Katiba kinachosema Rais atakuwa na elimu ya Shahada ya Chuo Kikuu. Sijui kama hili ni kwa wale wanaogombea tu na si kwa anayerithi Urais kama Rais wa sasa alivyo. Hii ni kasoro ya Katiba kwa kuwa tumepata Rais asiyekidhi matakwa ya Katiba.
🤣🤣🤣 kwanini huwaamini CCM? Mimi kila mwana siasa simuaminiUnawaamini wana CCM?
CCM wanatusadikisha kwamba mwenge unauwezo wa kuleta amani, kwanini wasiupeleke Ukraine ili amani ya dunia ipatikane, ugumu wa maisha upungue?🤣🤣🤣 kwanini huwaamini CCM? Mimi kila mwana siasa simuamini
Hahaha mzee mwenzangu 😂😂😂CCM wanatusadikisha kwamba mwenge unauwezo wa kuleta amani, kwanini wasiupeleke Ukraine ili amani ya dunia ipatikane, ugumu wa maisha upungue?