Wasifu Mzito wa Profesa Mohammedi Janabi uliomkosha Rais Samia wenye ubobevu na ubingwa hususan katika Magonjwa ya Moyo

Wasifu Mzito wa Profesa Mohammedi Janabi uliomkosha Rais Samia wenye ubobevu na ubingwa hususan katika Magonjwa ya Moyo

Hiyo ni CV ya kawaida tu.sema ti Samia amekoshwa na hiyo CV Kwa sababu yeye amezoea za kupewa burebure na hajawahi kufuatilia CV za watu wengine kama waziri wa afya afrika kusini au rwanda.professor Gani hajawahi kuvumbua hata chanjo yeyote
 
Mama akoshwe vyote na huyo mwamba lakini kamwe asije akaingia mkenge kutaka jamaa awe Daktari wake wa moyo, atajuta. Mwamba katika level ya kibingwa hana hiyo taaluma.

kivipi hana ?? sisi tuliyesoma naye huko majuu tunamjua ni mtu aliyetulia na hana fujo na mtu
 
Hiyo ni CV ya kawaida tu.sema ti Samia amekoshwa na hiyo CV Kwa sababu yeye amezoea za kupewa burebure na hajawahi kufuatilia CV za watu wengine kama waziri wa afya afrika kusini au rwanda.professor Gani hajawahi kuvumbua hata chanjo yeyote

Sasa ulitaka avumbue ile juisi ya Madagascar aliyekwenda kuileta Professor Pala magamba ya Samaki ??
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
HASWAAA MAMA ANATOSHA MITANO TENA
 
Hiyo ni CV ya kawaida tu.sema ti Samia amekoshwa na hiyo CV Kwa sababu yeye amezoea za kupewa burebure na hajawahi kufuatilia CV za watu wengine kama waziri wa afya afrika kusini au rwanda.professor Gani hajawahi kuvumbua hata chanjo yeyote
Acha ujinga wako hapa wewe .kwani wangapi wamevumbua chanjo.
 
kivipi hana ?? sisi tuliyesoma naye huko majuu tunamjua ni mtu aliyetulia na hana fujo na mtu
Ni kweli ametulia na hana fujo na mtu, lakini suala la kutibu moyo wa mama yetu kipenzi, HAPANA. Hajui, hawezi na hapaswi.
 
Ni kweli ametulia na hana fujo na mtu, lakini suala la kutibu moyo wa mama yetu kipenzi, HAPANA. Hajui, hawezi na hapaswi.
Mama ataendelea kulindwa na Mwenyezi Mungu na ataendelea kuwa salama na Mwenye afya njema mpaka atakapomaliza muhula wake wa uongozi hapo 2030
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aisome Zanzibar-ASP
 
Unavyomsifia mpaka mke wake anacheka 😄

Ova
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watanzania siyo wajinga wanajua kwanini anapewa promo kwasasa. Kuna kazi alitumwa na aliifanya. Time will tell. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Majina kamili ni Profesa Mohamed Yakub Janabi ni mtaalamu wa magonjwa ya moyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mshauri wa Rais katika masuala ya afya.

Profesa amekua mtafiti mkuu wa majaribio ya chanjo ya VVU (HIV Trial vaccine), Amehudumu kama daktari bingwa hospitali ya taifa Muhimbili, Amekua country director wa Madaktari Afrika, amekua Daktari Binafsi wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete tangu mwaka 2005 mpaka sasa, amekua Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu mwaka 2014 mpaka mwaka 2022, amekua Mkurugenzi Mtendaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu Oktoba 2022 mpaka sasa na juzi ameteuliwa kama mshauri wa raisi katika masuala ya afya.

Profesa alipata shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu mwaka 1989 kutoka Kharkov Medical Institute huko Ukraine, Kisha masters ya Tropical Medicine mwaka 1994 kutoka chuo kikuu cha Queensland, Australia na baadae PhD ya Cardiology (magonjwa ya moyo) akiwa nchini Japan katika chuo kikuu cha Osaka ambako pia hapo hapo aliongeza Postdoctoral Fellowship ya Cardiology (magonjwa ya moyo).

Ni Profesa wa magonjwa ya moyo tangu mwaka 2003, mpaka sasa ni Mwenyekiti wa bodi ya THPS tangu 2022, mjumbe wa bodi ya chuo kikuu cha afya Muhimbili tangu 2022, Mjumbe wa bodi ya JKCI tangu 2022, mjumbe wa bodi SUA tangu mwaka 2016, mlezi wa Taasis ya lishe na kisukari Tanzania, mjumbe wa baraza la madaktari Tanzania, mjumbe wa TPHA, mjumbe wa Royal society of tropical medicine and hygiene, mjumbe wa Japanese society of vascular medicine, mjumbe wa American Heart Association na Mjumbe wa Japanese society of echocardiography

Profesa amepata tuzo za heshima kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), American College of Cardiology (FACC) lakini pia ni mwanachama wa Kudumu wa Medical University of South Carolina, Marekani. Profesa Janabi ameanzisha na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na mashirika makubwa kama Mending Kids (USA), Open Heart International (Australia), Save the Child's Heart (Israel), Sharjah Children’s Charity (UAE).

Profesa anaongea lugha 4 ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kijapan na Kirusi.

Profesa ameshiriki kwenye utafiti na kuandika scientific papers zaidi ya 77.

Andiko hili nimelikopi mahali na kuwaleteeni hapa na siyo andiko langu Binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu hiyo ndiyo CV ya Dr Janabi Kwa mujibu wa MCT

PhD hakusoma cardiologist bali Bioregulatory Medical Science chuo kikuu cha Osaka 2001

Dr. Mohamed Yakub Janabi
RegNo: MCTOL39713
Qualification(s)
MD(1989) - Khakor Medical Institute-ukraine Ussr
MSc.(Tropical Health)(1993) - University Of Queensland
PhD(Bioregulatory Medical Science)(2001) - Osaka University

Registration status: specialist

Copyright@ 2024. All rights are reserved by Medical Council of Tanganyika


WHAT IS BIOREGULATORY MEDICAL SCIENCE

Bioregulatory medical science is a holistic approach to medicine that uses therapeutics to regulate biological processes in the body to promote disease prevention and healing:
What it is:

Bioregulatory medicine is a nontoxic, advanced approach to medicine that uses natural medicine and modern technology to treat illness and promote healing. It focuses on the body's ability to heal itself and uses noninvasive diagnostics and treatments.

How it works:
Bioregulatory medicine addresses the four pillars of health: diet, drainage and detox, oral health, and mind-body medicine. It aims to identify the cause of disease and promote early intervention.

Why it's important:
Bioregulatory medicine is an alternative to the conventional model of treating symptoms with pharmaceutical drugs. It's a way to work with the body, not against it, and to better care for ourselves and each other.
 
Hiyo CV wanadai muishushe kidogo ianzie Form four na form six alisoma wapi
 
Back
Top Bottom