Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa!! Mi nilimpenda siku walipokutana na Lissu nafikiri ITV!! Siku hiyo ndiyo nilijua kwa nini wanamwita tyson! Yaani kama si yule msimamizi wa kipindi basi Lissu angetoka hapo akiwa kibogoyo! Ila katika Mwana ccm niliyekuwa nikimheshimu kwa kujenga Hoja wassira hana Mwenzake!! Nb-historia yake inahitaji updation! Maana leo Kabwagwa tena mahakamani na Ester Bulaya!! Ongezeni kwenye hiyo Historia yake iliyoishia April 2015Kuna Siku Enzi za Mzee John Cheyo Bungeni aliulizwa kwa nini Watu wanalazimishwa kuchangia Maabara wakati ilisemwa ni hiyari basi Wassira Kama kawaida yake akasema 'Hiyari ni kwny kuamua kuchanga kwa hiyari lakin kutekeleza ahadi yako ya hiyari si hiyari' [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni sahihi,angalia mwaka wake wa kuzaliwaKwenye umri na mashaka kidogo
Hili jina la tyson kalipatajee??Tyson,,, sipendii utan tata,, wakunitania ni mmoja naye ni Rais tuuu,, wengine nooo,,,, MZEE WETU HUYO
Kama alizaliwa 1945 atakuwa na miaka 80.Kwenye umri na mashaka kidogo
Huu ni Uzi wa zamani sana toka 2015 na miaka 70 alikuwa nayo 2015. Zingatia muda Uzi unapowekwaKama alizaliwa 1945,umri wake sio miaka 70.
Huyu mzee bado yupo sana