Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtasabisha apigwe kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana! Tulieni wandugu, kuna mtu hapendi haya. Ile hela Gadafi mambo bado hayajatulia kiviiileCV ya future president elect
Hahaha alisukumiwa ndaniNi MTU mmoja aliyesukumizwa kwenye uraisi na akasukumika sasa hivi anajuta huku ananogewa
Umepanic walahi!Mate yanakudondoka kwa mwanaume mwenzio kiasi hicho, uwiii ma delicious mko wengi walahi
Chadrama suruali zitavuliwa walahi uwiii
Tafadhali ndg bado Ben sa8 hajapatikana, hivyo cv ya jiwe achana nayo kwanzaleta na Cv ya Jiwe
Mtukufu ni Mungu wa mbingu peke yake..... Anasemaga kazi hii ni NGUMU.....anaomba kuombewa kila siku better akapumzike awapishe wanaoweza kaziMnataka mumpindue mtukufu ?
Tamisemi imehamia ofisi ya rais msimu huu tuAlikua ofisi ya Rais kama Nani???? Ofisi ya Rais TAMISEMI au???
Huyu alikua mtumishi wa Ile idara Ile ya masuti meusiAlikua ofisi ya Rais kama Nani???? Ofisi ya Rais TAMISEMI au???
Ushanielewa nilichomaanisha.....Kwa kusoma comment hii[emoji1540][emoji1540]
Ana cv SafiHiyo CV inatosha kabisa kumfanya awe rais kabla ya 2020.
Mkuu, leo umeifanya jumapili kuwa yenye fraha, maana nimecheka sio kawaida.......Nawaangalia tu ,mtakavyoenda kutupwa Gymkhana.
Awamu hii mabwe pande pamepumzika.......Nawaangalia tu ,mtakavyoenda kutupwa Gymkhana.
Ndio ndio walimsukumia wala hakua na nia ila hataki kutangaza kujiuzuru kama yule wa ethiopiaHahaha alisukumiwa ndani
Yaani watu wanatoka upinzani ndio wanaopewa vyeo kwenye chama, tena watoto wadogo tu.
Sisi tuliojitolea kukipigania chama kwa miaka mingi katika jua na mvua, hali na shari, masika na kiangazi, tunabaki kupangusa vumbi tu na kupiga makofi.
Nasema imekwisha, Baba tunaziweka roho zetu mikononi mwako. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
hahahahuu uzi unipite sina mkuki mimi
hahaha hii kampeni si mchezo".. mkulu itakuwa ameshajiachia haja kubwa hukoHivi mbona mnapenda kumuuzi malaika mkuu..!
Angalieni msishitakiwe kwa uchochezi.Wapambe wanataka atawale maisha kama kina Kagame name Museveni.CV ya future president elect