hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaa mimi siwezi kubaki mkuu "Ahahahahaha hakuna kuondoka mtu hapa tunabanana hapahapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa mimi siwezi kubaki mkuu "Ahahahahaha hakuna kuondoka mtu hapa tunabanana hapahapa.
hahaa ramli chonganishi "... Nasikiaga wadau wanasemaga kuwa mwenye kiti 0 level kasoma QTMwenye CV ya Mwenyekiti wa CHAMA aitupie hapa jamani mbona hii CV ya Membe inatisha?
Kweli Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alikuwa makni kuandaa vijana wake......Membe ni ZAO la Mwalimu hakuna UBISHI.
MTAKINUKISHAJE PALE KIMWAGA HAMUIHESHIMU KATIBA YENU? C JIWE ALISHABADILISHA KIPENGELE CHA KURA YA MAONI HADI AWAMU MBILI ZIPITE.au inakuwajeWewe tulia tutakinukisha pale Kimwaga.
Tumechoka wageni mamluki wanapewa vyeo sisi vijana uvccm tunaachwaMTAKINUKISHAJE PALE KIMWAGA HAMUIHESHIMU KATIBA YENU? C JIWE ALISHABADILISHA KIPENGELE CHA KURA YA MAONI HADI AWAMU MBILI ZIPITE.au inakuwaje
Hahahahahahaaaa.......Nawaangalia tu ,mtakavyoenda kutupwa Gymkhana.
Wewe tulia tutakinukisha pale Kimwaga.
Tunafurahisha tu jukwaaHakuna kitu, hizi mbwembwe zitaishia huku JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] kwa hiyo hamtaki mabarabara na ma bombadia ya Jpm?CV ya future president elect
TISSAlikua ofisi ya Rais kama Nani???? Ofisi ya Rais TAMISEMI au???
Sio wapinzani tu kavuruga mishe za watu ndo hao wanataka atoke arudi mtoto wa pwaniJiwe alifanya kosa kubwa kuanza kwaruzana na wapinzani, angeenda nao taratibu na kuwasikiliza hakika 2020 angepita bila kikwazo, badala yake akadhani wapinzani ndio adui zake kumbe wako nyumbani kwake....
Polo nakuona unatanga tanga Mimi nakucheki tu hiiiii
Polo nakuona unatanga tanga Mimi nakucheki tu hiiiii
Afisa Usalama Wa Taifa (TISS,)Alikua ofisi ya Rais kama Nani???? Ofisi ya Rais TAMISEMI au???
HahahahaYaani watu wanatoka upinzani ndio wanaopewa vyeo kwenye chama, tena watoto wadogo tu.
Sisi tuliojitolea kukipigania chama kwa miaka mingi katika jua na mvua, hali na shari, masika na kiangazi, tunabaki kupangusa vumbi tu na kupiga makofi.
Nasema imekwisha, Baba tunaziweka roho zetu mikononi mwako. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ina maana haifikii hata ya kwako?Mbona CV nyepesi sana hii!!!
Mwenyekiti wa chawa baada ya six form ilibidi ashike chaki kwanza credit za USDM straight zilikohoa koho kohoMwenye CV ya Mwenyekiti wa CHAMA aitupie hapa jamani mbona hii CV ya Membe inatisha?
Kweli Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alikuwa makni kuandaa vijana wake......Membe ni ZAO la Mwalimu hakuna UBISHI.