Kama vipi na sisi umoja wa wabunge ccm tumjadili.....MazuzuChristian Democratic Union (CDU) ni chama dada na rafiki wa chama cha CHADEMA kwa hiyo sioni jipya hapo ni sawa tu na CHADEMA wamesema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipi na sisi umoja wa wabunge ccm tumjadili.....MazuzuChristian Democratic Union (CDU) ni chama dada na rafiki wa chama cha CHADEMA kwa hiyo sioni jipya hapo ni sawa tu na CHADEMA wamesema
Kule genge la Mazuzu ataweza nani? Angalau Lusinde anaweza kuwasaidia kupayuka payuka.Lakini si ana hoja ya msingi? Mngejibu hoja zake badala ya kuishia kumchunguza yeye kama mtoa hoja.
maza atusikilize, kwa masilahi mapana na heshima ya taifa letu -hii kesi ifutwe!!Kama kesi ilivyofunguliaa kwa mashinikizo ya Jiwe na Hangaya Pro inaweza kufutwa hivyo hivyo. Shida iko wapi?
Hawa Maccm ni wa ajabu sana. Hivi ukifuatilia kesi ya Mbowe kuna kesi pale? Haya ni matumizi mabovu ya rasilimali zetu.Tuko huku tunaona wapinzani wanavyobambikwa kesi,mikutano yao inavyopigwa marufuku na kukamatwa huku maCCMyakifanya mikutano na kulindwa. Halafu wapuuzi mnakuja na propaganda za hovyo!!
Wajerumani ndio waliwaua Mawazo,Saanane,Kanguye,Azory na pia lummiminia marisasiLissu?!!
Mpigeni risasi mbona kwa Tundu Lissu mliweza?Nini kifanyike kumdhibiti Dr McAllister?
Na ndiyo upumbavu wa CCM wakishindwa kujibu hoja wanamshambulia mtoa hoja. Walishindwa kumjibu Lissu wakaamua kumpiga risasiLakini si ana hoja ya msingi? Mngejibu hoja zake badala ya kuishia kumchunguza yeye kama mtoa hoja.
na wao wanaweza fukuza balozi zenu zote kwny nchi zaoKwa nini tusifukuze balozi wa EU Tz??? 😳
Hii itakuwa ni WAR!!!na wao wanaweza fukuza balozi zenu zote kwny nchi zao
Mpigeni risasi mbona kwa Tundu Lissu mliweza?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Utampuuza mtu mwenye ushawishi kwenye mikopo na misaada kutoka EU?Kumpuuza tu.
hotuba yake yote itakuwa imeandikwa na swahiba wake mzee wa "ubelgiji"Nini kifanyike kumdhibiti Dr McAllister?
Kwanza wanatakiwa waipige ban TzUtampuuza mtu mwenye ushawishi kwenye mikopo na misaada kutoka EU?
Teteteteetehotuba yake yote itakuwa imeandikwa na swahiba wake mzee wa "ubelgiji"
Mr Amsterdam? 😳hotuba yake yote itakuwa imeandikwa na swahiba wake mzee wa "ubelgiji"
Mzee wa "Leuven-Belgium"Mr Amsterdam? 😳