Elections 2010 Wasifu wa Dr. Slaa: Download, SAMBAZA!

Elections 2010 Wasifu wa Dr. Slaa: Download, SAMBAZA!

Status
Not open for further replies.
Ilikuwa majira ya saa moja unusu mwana CCM alipojitoa kumpigia simu mgombea Ubunge kwa CHADEMA kwamba Takukuru wameamrishwa na wamepewa hela ili wakamkamate Bwana Lema na wapandikize watu watakaotoa ushahidi wa uongo kwamba lema amewapa hela ili ksi iende police chap chap na CCM waandike malalamiko kwa mkuu wa NEC Arusha ili Lema apigwe Technical Knock out, kibibio batilda apite bila kupingwa.

Lema alikuwa na kikao na mawakala wake baada ya mkutano jioni ili kupanga mikakati ya kulinda kura katika kata ya Themi, Jiulize ni mpinzani gani umesikia kwanza ana hela ya kuhonga au anaita watu na mabasi kuja kushangilia na kununulia watu chakula na kuwapa viroba vya pombe ili watoe sauti aonekane anapendwa zaidi ya CCM.

Bwana Lema akawaaga gafla mawakala anatoka sababu Takukuru wanakuja, kufika getini geti limefungwa na mlinzi hajulikani alipo, Ikabidi makamanda wa chadema wambebe lema aruke ukuta na mabouncer kama watano wakatimka kukwepa fedheha ya CCM. takukuru kuja Holaaaaa.

Kuanzia sasa bwana lema ameandika barua Takukuru na Police kuomba ulinzi na atakuwa na vikao baada ya uchaguzi wa mawakala wake jana mambo yalikuwa shwari kulikuwa na Ulinzi wa Police.

Je tutafika ?
Jana saa moja kama na dakika 20 kulitokea purukushani pale annex hotel, Lema alikuwa na kikao pale, Baunsa moja wa ccm alinyofoa bendera ya chadema kutoka kwenye moja ya magari ya chadema walio kuwa wamehudhulia mahari hapo polisi sikuwaona...
 
Heshima kwako Triple DDD.

Mkuu habari yako si kweli hata kidogo wadanganye wasiopenda kufikiri.
Lema ninyemfahamu hawezi kukimbia Polisi au TAKUKURU kwasababu za kitoto/kijinga namna hiyo labda kama wapo Lema wawili [mapacha].Lema pamoja na matatizo yake kibao lakini anaoujasiri wa kutunishina mishuli na RPC/OCD tena ndani ya kituo cha polisi iweje akimbie kikao muhimu cha ndani.

Mkuu zipo tuhuma kwamba Annex Hotel inatumiwa na Lema kuwalipa posho wasaidizi wake wa kampeni,jambo ambalo ni halali kisheria labda kama anafanya vinginevyo.
 
Issue sio lema kuwaogopa Police au mtu yeyote issue ni technic iliyokuwa ikepangwa kisheria ilikuwa
na nguvu kumfuta au kuchafulia ktk lala salama. Kumbuka kuna mbinu imepangwa kuahirisha uchaguzi
arusha ili CCM ajipange na walete nguvu kubwa baada ya uchaguzi ili viongozi wajuu wanaohaa
wote waje kumsaidia mama.

Lema ameshauriwa kuwa mpole kiaso ili asitoe mwanya ajihami na mipangilio michafu.
 
Issue sio lema kuwaogopa Police au mtu yeyote issue ni technic iliyokuwa ikepangwa kisheria ilikuwa
na nguvu kumfuta au kuchafulia ktk lala salama. Kumbuka kuna mbinu imepangwa kuahirisha uchaguzi
arusha ili CCM ajipange na walete nguvu kubwa baada ya uchaguzi ili viongozi wajuu wanaohaa
wote waje kumsaidia mama.

Lema ameshauriwa kuwa mpole kiaso ili asitoe mwanya ajihami na mipangilio michafu.


Heshima kwako TripleDDD,

Mkuu hivi ulikuwa hujui Lema akishinda ubunge lazima atautema mapema.Sababu zipo nyingi moja kubwa ni kudanganya ana Advance diploma Human Resources Management wakati hata cheti cha Form Four hana akiwa mpole sasa haitasaidia kitu mwambie aendele kutukana umaarufu uzidi kupanda.

Mkuu RPC wa Arusha alimwambia Lema atamweka ndani iwapo ataua tu anayo kinga mpaka tarehe 31/10/2010 kesi za kutukana,kudhalilisha,kutapeli zitasubiri uchaguzi umalizike haitajalisha kashinda ubunge au kashindwa ,kwahiyo kama unategemea Lema aswekwe korokoroni peleka ushahidi wa mauaji.Nadhani ulikuwepo siku kamanda Basilio Matei alipomweleza Lema mbele ya wafuasi wake na viongozi wa CHADEMA.

 
Batilda ni mtu wakaribu ki unyumba na EL na pia amewekwa ili kundaa safu(support) ya EL 2015.
Sisi tunaangalia sasa, ila EL anajipanga 2015 kupitia watu aliowaweka, huwezi Amini pale Mtaa wa spea December
alifungua tawi la wakereketwa akawapa rushwa ya 800,000 na ikaliwa na watu 3 tu, wakasema
hela ya mjinga huliwa nawerevu, na hatumpigii. je ni ngapi kama hizo zimeliwa ili kushawishi watu wampigia mta mzima.

hayo yote anayotokea ni kwamba amekuja kugundua ameliwa vya kutosha na sasa anataabika atarudishaje hela zake.

Kifupi mama ni Son of the bitch, means the materia of no commercia value. Sababu kwa mama yake ana watoto 4, yeye akiwa
kwanza mama yake akiwa anafanya Arusha hotel akazaa na mzanzibari asiyejulikana, so hamjui baba yake.
Pili mama yake akaja akazaa na mzungu mtoto wa pila, then mzugu akafukuzwa nchini sababu ya ufisadi. mama yake akaolewa tena
muarusha akazaa watoto wawili eugen na mwingine ambao akama umesikia mgombea arusha anatembea na waizi habari
ndio hio wadogo zake wana bad records ya wizi mkubwa.

habari ndio hio kifupi anavyokulikana bibie batilda.[/QUOTE

WAKUU hii hoja inanipa mashaka makubwa nayo ni jinsi matusi yanavyotumika kumjadili huyo mama, sioni kama ni ustaarabu kwani wapo wengi tu waliozaliwa katika mifumo hiyo na mtoa hoja aweza kuwa mmoja wapo.

Kinachojitokezahapa jamvini sasa naona ni ushabiki zaidi, jambo likimhusu mgombea wa CCM hujadiliwa pasipo staha wala kuchujwa na wapokeaji tunalipokea kwa asilimia 100 kuwa sahihi, lakini ikielekezwa kwa mgombea wa chadema tunageuka kuwa mbogo, huo ni ushabiki zaidi ambao sidhani kama utatusaidia.

Nimefuatilia mijadala kuhusu jimbo hilo la Arusha, matope na uchafu wa aina yote kwa huyo mama, lakini kwa upande wa Lema ni u malaika tu. Hapana hebu tumpe heshima yake naye kama binadamu, na kwa utaratibu huu haimsaidi Lema wala chadema.

Ni mtazamo wangu tu
 
[font=&quot]ilikuwa majira ya saa moja unusu mwana ccm alipojitoa kumpigia simu mgombea ubunge kwa chadema kwamba takukuru wameamrishwa na wamepewa hela ili wakamkamate bwana lema na wapandikize watu watakaotoa ushahidi wa uongo kwamba lema amewapa hela ili ksi iende police chap chap na ccm waandike malalamiko kwa mkuu wa nec arusha ili lema apigwe technical knock out, kibibio batilda apite bila kupingwa.

Lema alikuwa na kikao na mawakala wake baada ya mkutano jioni ili kupanga mikakati ya kulinda kura katika kata ya themi, jiulize ni mpinzani gani umesikia kwanza ana hela ya kuhonga au anaita watu na mabasi kuja kushangilia na kununulia watu chakula na kuwapa viroba vya pombe ili watoe sauti aonekane anapendwa zaidi ya ccm.

Bwana lema akawaaga gafla mawakala anatoka sababu takukuru wanakuja, kufika getini geti limefungwa na mlinzi hajulikani alipo, ikabidi makamanda wa chadema wambebe lema aruke ukuta na mabouncer kama watano wakatimka kukwepa fedheha ya ccm. Takukuru kuja holaaaaa.

Kuanzia sasa bwana lema ameandika barua takukuru na police kuomba ulinzi na atakuwa na vikao baada ya uchaguzi wa mawakala wake jana mambo yalikuwa shwari kulikuwa na ulinzi wa police.

[/font][font=&quot]je tutafika ?[/font]


source ???????????????????????????????????????????????????????????

 
source ???????????????????????????????????????????????????????????


Mkuu hawezi kukupa source hata mara moja labda hujui kaja hapa kwa malengo gani ?.Angalia kajiunga lini post yake ya kwanza tu inatosha kumwondoa kwenye list ya great thinker.
 

Heshima kwako TripleDDD,

Mkuu hivi ulikuwa hujui Lema akishinda ubunge lazima atautema mapema.Sababu zipo nyingi moja kubwa ni kudanganya ana Advance diploma Human Resources Management wakati hata cheti cha Form Four hana akiwa mpole sasa haitasaidia kitu mwambie aendele kutukana umaarufu uzidi kupanda.

Mkuu RPC wa Arusha alimwambia Lema atamweka ndani iwapo ataua tu anayo kinga mpaka tarehe 31/10/2010 kesi za kutukana,kudhalilisha,kutapeli zitasubiri uchaguzi umalizike haitajalisha kashinda ubunge au kashindwa ,kwahiyo kama unategemea Lema aswekwe korokoroni peleka ushahidi wa mauaji.Nadhani ulikuwepo siku kamanda Basilio Matei alipomweleza Lema mbele ya wafuasi wake na viongozi wa CHADEMA.


wewe si ndo ulileta kashifa za kutunga

Pumba zako zinaonesha ulivyo poor minded
 
wewe si ndo ulileta kashifa za kutunga

Pumba zako zinaonesha ulivyo poor minded


Punguza jazba jibu hoja matusi hayajengi bali yanabomoa inaonekana umekaa na Lema kakuambukiza ujinga wake.Kama nimetunga onyesha nilichotunga nitakujibu kwa ustaharabu bila jazba wala dharau.

Nakuachia assigment ndogo mwambie Lema aonyeshe cheti cha Form Four donge nono litatolewa bwaha ha ha ha .Imekuuma hatutaacha kukemea uchafu wa Lema.
 
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo

Mkuu Njowepo heshima mbele.

Huyu Bi Batilda Buriani yuko kwenye underground campaigne ya saidia RICH MONDULI FOR PREZO 2015, hata ccm wilaya hawapo sana kwenye kampeni zake kwa kuwa zinaratibiwa na manyangumi/papa ya ufisadi wa nchi hii, tutegemee meeeengi kwenye hizi kampeni.
 
Kuna swali moja najiuliza sipati majibu.... WHY ARE THEY FIGHTING SO HARD TO LEAD THE PEOPLE WHO DONT LOVE THEM??? WHAT ARE THEY AFRAID OF LAVING A NEW LEADER IN THEIR SPHERE....

EVIL DEEDS ARE DESTINED TO EVIL DEAD
 


Punguza jazba jibu hoja matusi hayajengi bali yanabomoa inaonekana umekaa na Lema kakuambukiza ujinga wake.Kama nimetunga onyesha nilichotunga nitakujibu kwa ustaharabu bila jazba wala dharau.

Nakuachia assigment ndogo mwambie Lema aonyeshe cheti cha Form Four donge nono litatolewa bwaha ha ha ha .Imekuuma hatutaacha kukemea uchafu wa Lema.

I would one day like to know why you hate Lema so much!! is it personal or political?
 
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo

Duuuh Mweshimiwa hiyo kauli ukiitoa mbele ya wapambe wa Batilda khaaa utajikuta hoi maututi ICU unauguza maumivu ya mwili maana ma bouncer wake wote ni profile chafu tusikiavyo kwani rafiki yangu mmoja alinipa story kuwa walikuwa kwenye mazishi kuho kijenge juu panaitwa kama sija kosea Chalii mmoja akawambia aah wapi mbona mama twajua nani anatoka nae weeeee palikuwa mshike mshike nsikia chalii wakamtorosha kuepuka kipondo.

Huko nadhani nchi ndiko itahamia kwa ulizi sasa maaan Takukuru wameisha semwa weeee karibia majimbo yote nchi nzima kuwa wao ni kutoa matangazo mazuri kwa runinga lakini kiutekelezaji ni zero.

Nadhani imefika wakati CCM itambue tuu wananchi hawataki kuongozwa na CCM na hii sio kuwa ni nchi nzima ila kuna maeneo ambayo CCM inakubalika kama kwetu DODOMA pale upinzani sio mkubwa sana. kwani atake chukua jimbo bado ni Raia wa TZ na mtanzania sasa sijui ni kuna nini huko Mjengoni mpaka watu wanawindana na kutoana roho.

Na kuna mapungufu mengi sana kwenye hizi kampeni kwani ma manager kampeni na jopo lake la ufundi wakiwa ni wabovo basi na mgombea wao ni mbovu kabisa kwani wanakuwa hawa skills & Tactics za kampeni wapi pa kuanzia na wapi pa kumalizia ukiwa na Plan A,B&C. sasa kama umewaweka mambumbu kwenye mstari wa mbele wa mashambulizi na wanafanya upuuzi kwa kutumia nguvu ya dola au pesa kweli ukikosa jimbo usi laumu watu kwani ulikuwa na very embarrassed Campaign Team with no strategic plan.

 
kila penye vikwazo kuna ushindi mkubwa,naamini lema atashinda kwa kishindo
 
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo

kumbe., teh teh teh.., nani tena kwenye red hapo
 

Heshima kwako TripleDDD,

Mkuu hivi ulikuwa hujui Lema akishinda ubunge lazima atautema mapema.Sababu zipo nyingi moja kubwa ni kudanganya ana Advance diploma Human Resources Management wakati hata cheti cha Form Four hana akiwa mpole sasa haitasaidia kitu mwambie aendele kutukana umaarufu uzidi kupanda.
Mkuu RPC wa Arusha alimwambia Lema atamweka ndani iwapo ataua tu anayo kinga mpaka tarehe 31/10/2010 kesi za kutukana,kudhalilisha,kutapeli zitasubiri uchaguzi umalizike haitajalisha kashinda ubunge au kashindwa ,kwahiyo kama unategemea Lema aswekwe korokoroni peleka ushahidi wa mauaji.Nadhani ulikuwepo siku kamanda Basilio Matei alipomweleza Lema mbele ya wafuasi wake na viongozi wa CHADEMA.



Kaka hata wakimfungulia mashtaka baada ya Kushinda ubunge na akapigwa chini, uchaguzi ukiitishwa CCM tunawapiga chini tena, hawatakiwi ARUSHA alaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 

Heshima kwako TripleDDD,

Mkuu hivi ulikuwa hujui Lema akishinda ubunge lazima atautema mapema.Sababu zipo nyingi moja kubwa ni kudanganya ana Advance diploma Human Resources Management wakati hata cheti cha Form Four hana akiwa mpole sasa haitasaidia kitu mwambie aendele kutukana umaarufu uzidi kupanda.

Mkuu RPC wa Arusha alimwambia Lema atamweka ndani iwapo ataua tu anayo kinga mpaka tarehe 31/10/2010 kesi za kutukana,kudhalilisha,kutapeli zitasubiri uchaguzi umalizike haitajalisha kashinda ubunge au kashindwa ,kwahiyo kama unategemea Lema aswekwe korokoroni peleka ushahidi wa mauaji.Nadhani ulikuwepo siku kamanda Basilio Matei alipomweleza Lema mbele ya wafuasi wake na viongozi wa CHADEMA.


Kwa hio hata akimkata gwara RPC Matei hatamtia ndani?:smiling:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom