Wasifu wa Godbless Jonathan Lema


Sasa hapo uongo ni upi?? Kusoma Cambridge degree na diploma?? Inferiority ni jambo baya sana!!
 
ww sivi yako iko wap?mbona hujatoa?huyu lema nim2 mchapakazi tofauti na wanaojivua magamba kama papasi.elimu ni upeo hekima busara uadilifu heshima uuaminifu na kuwajibika.unajua maana ya mtu mzima ovyo? tafakari chukua hatua hahaaaaaa teteeeeee.....
 
hivi hicho chama bila kuhusisha biblia bado hujakuwa kundini? mara mchungaji nani mbunge wa ..... mwingine mbunge...... padri mgombea ura... ntafatlia cv ya zito na arfi nao nizione.
Mkuu wa kaya wale uliotueleza kuwa wanataka kutugawa kwa misingi ya kidini na ukabila pale Taifa kwenye tamasha la matumaini mmoja wao huyu hapa
 
Unamfahamu Lema wewe?, au unaleta ushabiki tu?, hiyo kampuni umehakiki kama imesajiliwa na BRELA kwenye hicho kipindi?
Kwani professa maji marefu UPROF kapewa na chuo gani?
 
Ana diploma lakini anawapasua vichwa wasomi uchwara wa ccm!
 
Lema anafaa kuchunga mbuzi kijijini kwao tu basi kichwa hakina kitu kabisa anajipa elimu ambazo siyo zake awe tu mpole shule ilishaita.
 
Ana diploma lakini anawapasua vichwa wasomi uchwara wa ccm!
Diploma kaitoa wapi,huyu ni kidato cha pili hana shule zaidi ya hapo zingine sanaa tu na kuchezea watu wenye akiri ndogo kama wewe.
 
Umempa ukweli
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako
 

Ya J.K ni bomba, Je ameifanyia nini nchi yetu na elimu yake zaidi ya ufisadi na kuuza nchi?

Na baraza lake lote limejaa mafisadi pamoja na elimu ya bure waliyopewa na JKN.
 
Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo
 
Sasa hapo uongo ni upi?? Kusoma Cambridge degree na diploma?? Inferiority ni jambo baya sana!!

Kweli kupenda kubaya mpaka uongo hautaki kuona.

Lema kamaliza 0 level mwaka huo huo kisha akaanza A level mwaka huo huo.
 
Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo

Wakuti,

Tunakuomba uache uchochezi Kamanda Lema ana Degree.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kupenda kubaya mpaka uongo hautaki kuona.

Lema kamaliza 0 level mwaka huo huo kisha akaanza A level mwaka huo huo.

Tumetofautiana kujua ni lini hasa mtu shule inapoisha, je ni siku unatumaliza mtihani wa mwisho, ni siku ya graduation ama ni siku matokeo yako unapoyapata!! Tatizo lako umekariri..
 
Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.

Mkuu Ritz
Hizi thread nyingine unatutafutia ban acha nipite wima!
 
Last edited by a moderator:
Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.

Pili pili usiyoila yakuwashia nini? Acha chuki binafsi juu ya mh.lema...au jicho linakuwasha???
 
Hivi unajuwa kusoma we Ritz?ama maana ya "not completed?" huifahamu?je pia hufahamu maana ya "the end date is equal to today"?huwezi kuona kwamba ni an online degree?(kwasababu bado yuko kwenye masomo?)shughulisha ubongo usianzishe thread za kidaku kuwapotezea vijana muda kwa ukilaza wako gamba we!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…