Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo

Baada ya kumaliza A level uliishia hapo hapo au uliendelea na shule?

BTW inawezekana wewe umesoma kwa MITAHARA kama hapo kwa red, na mwenzio Lema hakusoma kwa MITAHARA.

FYI: MITAHARA ni spesheli kwa MATAAHIRA.
 
Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo

Wakuti,

Tunakuomba uache uchochezi Kamanda Lema ana Degree.
Mkuu Ritz, kweli jamaa ni mchochezi. Yeye kasoma kwa MITAHARA!!
 
Last edited by a moderator:
Wakuti,

Tunakuomba uache uchochezi Kamanda Lema ana Degree.

jana umemtukana mdada humu eti anakushobokea.bora yeye aliyekushobokea mwanaume.je wewe unayeshobokea wanaume wenzio tukuiteje?
 
Last edited by a moderator:
Mshukuru Hu jintao kakuokoa otherwise ungekuwa ushakula kitanzi china m-bia mwenzako kamwagiwa tindikali pale kwenye jengo lako baby shop,wewe mwenye cv nzuri umeishia kuuza ngada aka bwimbwi.
 
Hivi huna jambo la maana la kueleza hapa JF, wangapi wana degree zaidi ya moja na niwajinga na mbumbumbu wakutupwa?, bungeni wangapi wamesoma hakuna kitu wanajenga hoja. Tofauti elimu, hekima na busara
 
Tulipo sasa elimu ya mtu sio hoja kitaifa, hoja ni uchapakazi wake, Sokoine alikwa hajasoma lakini alipiga mzigo nani hafahamu, mrema je, wapo wengi; HII KASUMBA YA WASOMI KUBAKA KEKI YA TAIFA IISHE, nchi ni ya wachapakazi wote hata kama hujui kusoma na kuandika ila kama ni jembe napiga SALUTE KWAKO.
 
Kha ha ha ha haaaa!

Mijinga kama wewe Ponera ni kwamba tuna hasara sana jamvini
sikiliza bint nikwambie hao wanaosema chama flani ni muslim ageny uwaoni au kisa ni wa upande wako? huko kwenu tunajua kila mtu padri kama sio padri basi mchungaji na kama sio mchungaji basi utasikia bible knowledge inahusika.
 
Mkuu wa kaya wale uliotueleza kuwa wanataka kutugawa kwa misingi ya kidini na ukabila pale Taifa kwenye tamasha la matumaini mmoja wao huyu hapa
waandaaji wenyewe walitugawa au ukuona zimewekwa kwaya za kikristo wakati waudhuriaji dini mchanganyiko? stuka wewe sio kila kitu hadi uambiwe, kwaya za nini tamasha la kitaifa?
 
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako

Waambie bhana Kawawa naye aliyeiletea uhuru nchi hii cv yake ni ipi? kama cv yake ni uhuru Lema naye cv yake ni ukamanda
 
Waambie bhana Kawawa naye aliyeiletea uhuru nchi hii cv yake ni ipi? kama cv yake ni uhuru Lema naye cv yake ni ukamanda

Kawawa kaleta uhuru wapi soma historia siyo kukariri tu.
 
Hivi unajuwa kusoma we Ritz?ama maana ya "not completed?" huifahamu?je pia hufahamu maana ya "the end date is equal to today"?huwezi kuona kwamba ni an online degree?(kwasababu bado yuko kwenye masomo?)shughulisha ubongo usianzishe thread za kidaku kuwapotezea vijana muda kwa ukilaza wako gamba we!

Naona unataka kulazimish vitu kwa mapenzi yako, Lema hayumo kwenye orodha ya wanafunzi waliosoma Cambridge, hiyo ya kusoma online sijui umeipata wapi.

Weka basi huo ushahidi tuone hiyo online diploma/degree, bora Mrema tuliona degree yako.

Kwa hiyo unatuambia Lema bado yupo kwenye masomo.
 
Last edited by a moderator:
Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.

Mkuu Ritz, Cambridge International College ni distance learning ambapo kila mtu anamaliza kivyake kutokana na alijiunga lini. Kwa kutusaidia tu kama unaweza tuwekee list uliyonayo isilo na jina la Lema.
 
Last edited by a moderator:
...mkuu Ritz asante sana kwa taarifa mujarabu,sasa namkubali mara mia zaidi lema maana anawapeleka kasi hao 'wasomi' wako na ofcn wala lumumba hawakai,ni juzi tu kawapiga nne bila. hakika lema et al wanastahili kupewa nchi,hawana majigambo,ni wenzetu, sio mafisadi, hatumii elimu kuiba, sio muuza meno ya tembo, hauzi twiga, hauzi loliondo,hauzi unga,hana uswaiba kwenye harakati za ukombozi (kumbuka kilicho wapata madiwani wasaliti), mpenda haki, nitawapigia kura 2015, Mungu awe nasi.....
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ndiyo nyie mnaohatangaika na CV za viongozi wa CDM wakati za kwenu hamziweki hadharani zijadiliwe!! mkakosea mlango wa toilet kuhoji CV ya Mnyika - mkatoka nduki.. leo mmeibukia kwa Lema sababu amewashika sehemu mbaya eeee!
 
Naona unataka kulazimish vitu kwa mapenzi yako, Lema hayumo kwenye orodha ya wanafunzi waliosoma Cambridge, hiyo ya kusoma online sijui umeipata wapi.

Weka basi huo ushahidi tuone hiyo online diploma/degree, bora Mrema tuliona degree yako.

Kwa hiyo unatuambia Lema bado yupo kwenye masomo.

...we ritz acha ukilaza,kwanza acha kukariri neno cambridge,naona ndo linakusumbua,husisha ubongo kufikiri, pili unachofanya ni kutuaminisha kwamba hao wasomi wako wa ccm wanaopokea taarifa za wabunge (chini ya spika na naibu wake) na kuweka kwenye
tovuti yao ni vilaza kupindukia kwa kuweka vitu wasivyovijua....
 
Utachafua sana watu lakini mwisho wake ni nguvu ya umma na hatutyaacha kuipenda CHADEMA......peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez..........malizia RITZ.

powerrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Mshukuru Hu jintao kakuokoa otherwise ungekuwa ushakula kitanzi china m-bia mwenzako kamwagiwa tindikali pale kwenye jengo lako baby shop,wewe mwenye cv nzuri umeishia kuuza ngada aka bwimbwi.

Ningekuwa prince ningekuwa makini sana aina ya post ninazoleta hapa nikizingatia kuwa mimi ni nani and how much people know about me ili kupunguza fedheha inayoweza kunipata kwa kufunuliwa kwa mambo mengine mabaya zaidi. Kumbuka unapomnyoshea mtu kidole kimoja vingine vitatu vinakugeukia wewe. Huo.ni ushuri wa bure.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom