Yes thickhead, that is all I have to say for this post, do you have a problem ?
Hata Rizwani alipoaanza kutamba na BMW X5 mara tu baba yake alipotwa Urais kulikuwa na hadithi kama yako......
Well, keep doing your job!
This is the ultimate hypocrisy of Jamii Forumers. Ukiwa tapeli na elimu ya Form II, chadema unaonekana mpiganaji unayejua shida za wananchi. Ukiwa chama kingine unaitwa kilaza na fisadi.
Its so pathetic. Actually, it is so sad kwamba wananchi are loosing the control of their thought process kwa sababu ya ushabiki.
Hilo la aliposoma lilikosewa na limesharekebishwa, ungesoma post zote za nyuma ungeyaona hayo,usiite ushabiki kwa post mbili ulizosoma.Jamani tuache ushabiki, Lema hakuwahi kusoma elimu ya juu kabisa, aliyesema kwamba Lema amesoma Njiro atuambie amemaliza mwaka gani??
naona ulijiunga jf sababu ya umbea tu,kudanganya elimu ni sababu ya kukuondolea ubunge mahakamani lakini sababu hiyo haijatajwa kwa lengo la kumvua ubunge na ipo wazi,rejea kesi ya uchaguzi mwaka 1995 kati ya kihiyo vs nccr-mageuzi
Hilo la aliposoma lilikosewa na limesharekebishwa, ungesoma post zote za nyuma ungeyaona hayo,usiite ushabiki kwa post mbili ulizosoma.
....amesoma ADVANCED DIPLOMA YA HUMAN RESOURCES MANAGEMENT,CAMBRIDGE INTERNATIONAL COLLEGE,kwa kinywa chake amesema sasa wewe tukuulize,Je Lema alikuwa anawajibika ku-report kwako kama anaenda kusoma?? manake umemkania as if ada ulikuwa unampa kwa hiyo unajua sana alichosoma.Habari ndo hiyo sasa!! kama vipi nenda Cambridge International College kaulize.
Amemaliza mwaka gani huko?? Bwahahahahahahahahahahahahaha
Mmesahau cv nyingine ni mlokole
I have said it already Mr brainless,mind you, you are responding to what i said................
Am glad i have a thickhead but with a brain that is useful,its different from you with a brain that you never used...............lol
:Cry::Cry::Cry::car:
kibaka we...............Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
basi elimu ya juu alisoma Makamba................umefurahi sasa?Jamani tuache ushabiki, Lema hakuwahi kusoma elimu ya juu kabisa, aliyesema kwamba Lema amesoma Njiro atuambie amemaliza mwaka gani??
Kaka yake alimletea kama zawadi na ndugu zake wengine kutoka Namibia,sina hakika kama inaruhusiwa but najua inalipiwa hiyo plate no.Lema ni mfanyabiashara wa madini,hilo la fundi computer labda alikuwa anafanya kama hobby akisubiri wateja..............lol[/QU
tell em michelle....................yanaonekana manunda hayo hayataki kukubali ukweli basi si wamshauri huyo makamba wao aakasome.