LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Hebu niwekeni sawa wana JF, kwani daraza la saba na Form four huwezi kuwa mbunge???
Na kama nimeishia form four na profile ya bunge inasema STD 7 ni kosa la nani??
Mkubwa!
Huyu thatha yaelekea ana lake na hii thread
Na ni mtumwa wa kufa mtu kwa hawa mafisadi.
Hawana tofauti na lile group lake la Rejao, ms,,,,,,,na wengine kama yeye.
Swali.
mwinyi,mkapa,jk na mawaziri wao mafisadi pamoja na elimu zao wametufanyia nini?
Kama siyo wezi mtupu tu?