OPTIMUS TZ
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 391
- 65
Wazazi nina uhakika na ninacho kisema ,ila wadau wamenikumbusha kidogo, dogo hakupiga maabara alipiga dispensary .......nasiku hiyo ya kutimuliwa alikuwa navusha mzigo asubuhi na mapema ndo akatolewa mkuku...........kibegi chake kikanyakuliwa ila yeye alitoweka ...ukaguzi uka kuta mzigo tosha kwenye sanduku lake ...........Mzee mzima Lema HAKUKANYAGA TENA KOLILA SECH.......................nataka Lema aongee au mtu aliyesoma naye hiyo form four.........
Kumaliza hili zari mtu mzima akaipige jeki Kolila Sech dispensary ...........kwani hay mambo yalitokea sikunyingi sana halafu aweke CV ya ukweli kutubu ni kumheshimu mungu wako.
Kumaliza hili zari mtu mzima akaipige jeki Kolila Sech dispensary ...........kwani hay mambo yalitokea sikunyingi sana halafu aweke CV ya ukweli kutubu ni kumheshimu mungu wako.