Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

badala ya wewe kuweka cv za watu humu
tuelezee elimu yako toka Mkwawa tulipo kufahamu tukiwa na mgwa Mwende
na sisi tutajibu mapigo yaliyojiri kule
Tuje UDSM tueleze yaliojiri
Jiangalie wewe kwanza je elimu uliyo nayo ni kutokana na akili yako?
ukishapata jibu anza kuwasema wenzako
watch out!



Wanaukumbi,

Hii hapa chini ni CV ya Lema imejaa uongo mwingi sana kuhusu elimu yake anasema amesoma Diploma na Degree Cambridge International College


Member of Parliament CV

SalutationHonourableMember picture
1748.jpg
First Name: Godbless
Middle Name:Jonathan
Last Name:Lema
Constituent:Arusha Mjini
Political Party:CHADEMA
Office Location:
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: glema@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 26 October 1976

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
Cambridge International College
Geita Secondary School
Kolila Secondary School
Kalangala Primary School
Cambridge International College

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Diploma[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Degree[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"] Todate [/TD]
[TD="align: center"]NOT COMPLETED[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Arusha Urban Constituency
PTNChief Executive Officer (CEO)
Tanzania Labour Party, TLPDistrict Secretary General
DENETRIADirector

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
Chama Cha Demokrasia na MaendeleoMember of Parliament
Tanzania Labour Party, TLPDistrict Secretary General
Tanzania Labour Party, TLPCandidate, Member of Parliament

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
Lema Godbless: Msaada wa haraka kutoka katika Biblia, Arusha2008
Godbless Lema: Wisdom Time, Arusha2008
Lema Godbless: Msaada wa haraka kutoka katika Biblia, Arusha2008
Godbless Lema: Wisdom Time, Arusha2008
Lema Godbless: Msaada wa haraka kutoka katika Biblia, Arusha2008
Godbless Lema: Wisdom Time, Arusha2008
Lema Godbless: Msaada wa haraka kutoka katika Biblia, Arusha2008
Godbless Lema: Wisdom Time, Arusha2008

[TH="colspan: 2, align: left"] PUBLICATIONS [/TH]

[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
 
Nyie Chadema msiwe ndumilakuwili CV ya ovyo hivi ingekuwa ya waheshimiwa wengine ungesikia kashfa zenu. Sasa tunaelewa kwa nini Lema yuko kama alivyo. Ni mtu wa hovyo sana. Lakini wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu. Tunamuongelea Lema katika nafasi ya ubunge sasa matusi ya baba zetu majumbani kwetu yanakujaje hapa? Lakini mbaya zaidi Lema ameifanyia nini Arusha tangu aingie madarakani? Mbona kama Arusha inarudi nyuma kiuchumi? Hiyo ndiyo siasa tunayoitaka sidhani. Let us call a spade a spade not otherwise. Thank you.

Siyo wote wanaopondea hii thread ni wafuasi wa CHADEMA,ina maana hakuna vitu vya msingi vya maendeleo vya kujadili hadi tuijadili CV ya mtu? Haya sasa mleta mada ameiweka CV ya huyo mbunge hapa,je imemsaidia nini? je huyo mbunge ameathirika vipi CV yake kuwekwa jamvini? na je CV mbovu za viongozi wetu zikiwekwa hapa mtajisikiaje?.
Narudia kusema ndio maana vijana wa CCM tuna dharaulika sana,badala sisi tuwe wa kwanza kuwa shauri viongozi wetu wafanye mambo ya msingi na ya muhimu ya kukijenga chama sisi tuna wapondea na kuwaundia kashfa za uongo wapinzani wetu wanao wa kosoa viongozi wa chama chetu,TUBADILIKE WANA CCM wenzangu
 
Lema ni jambaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na gaidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Naona umeingia kwa Lema siku hizi,lema mtoto wa mjini atakuteka kibabu Ritz na HAMY-D

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako

jingaaaaa !!!!! bora pumbavuuuu!!!
 
Siyo wote wanaopondea hii thread ni wafuasi wa CHADEMA,ina maana hakuna vitu vya msingi vya maendeleo vya kujadili hadi tuijadili CV ya mtu? Haya sasa mleta mada ameiweka CV ya huyo mbunge hapa,je imemsaidia nini? je huyo mbunge ameathirika vipi CV yake kuwekwa jamvini? na je CV mbovu za viongozi wetu zikiwekwa hapa mtajisikiaje?.
Narudia kusema ndio maana vijana wa CCM tuna dharaulika sana,badala sisi tuwe wa kwanza kuwa shauri viongozi wetu wafanye mambo ya msingi na ya muhimu ya kukijenga chama sisi tuna wapondea na kuwaundia kashfa za uongo wapinzani wetu wanao wa kosoa viongozi wa chama chetu,TUBADILIKE WANA CCM wenzangu
Bora wewe mwenye mawazo chanya


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi nina cv kubwa na kali kuliko lema....lakini sijasaidia jamii na taifa kufikia hata robo ya lema....so angalia cv sio kila kitu....
 
Watu mapovu kibao yanawatoka! kinachotakiwa ni ukweli sio kuongopa kama alivyofanya lema, Profesa Maji marefu kaweka CV ya ukweli, Mheshimiwa Abood vile vile, Why Lema achakachuwe kamaliza "O" level mwaka huo huo akaanza "A" level.

O level yenyewe miaka mitatu, namshangaa Sugu alivyokuwa anamkandia Philip Mulugo kuwa ana elimu ya kuunga unga sijui ndio mambo ya "Nyani haoni kundule"
 
Hata kama! Huyu jamaa jembe kuliko wale mawaziri waliogushi vyeti ili kupata vyeo kufisidi nchi.
 
Kafanya kazi kubwa ya kanisa jamaa huyu. Kumbe ndio maana ni mdini sana.
Cv imekaa kiujanjaujanja sana. Yaani mh huyu kaungaunga sana!!
Hivi ile kazi ya kuiba magari alianza akiwa na vyeo vyake hivyo au ni tuhuma tu hakuna ukweli Ritz

weka cv ya Lusinde na Maji marefu hapa,ivi kanisa na Wachaga tumewakosea nini Magamba?
 
Last edited by a moderator:
Tunahitaji kiongozi mwenye uchungu na mapenzi ya kweli na nchi yetu . Hayo mengine yote mapambo tu .
 
Toa boriti kwanza kwenye jicho lako,ili uweze kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako.Tunaomba CV yako haraka sana.Nimefurahi umeweka hii .sasa tunataka yako.
 
Wanasiasa kuweni wa kweli kudanganya wananchi siyo vizuri.
Tumeshazoea kudanganywa Mkuu.sisiem imeanza kutudanganya lini unakumpuka? Hivi Mtu akikutwa na jamhuri akiwaanajinyonga wakafanikiwa kumuokoa wanamfanyaje? Leo Soweto watu wamekufa watu wamepiga kimya eti CDM wamejilipua wenyewe huoni huu ni uongo pia-Tanzania bila Sisiem inawezekana
 
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako

kwa point hizi mkuu, ningelikuwa mod ningeifunga thread hii... kwani ndio majibu.
 
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako
kwa point hizi mkuu, ningelikuwa mod ningeifunga thread hii... kwani ndio majibu.
 
Back
Top Bottom