Lusinde ni std 7 lkn ndo anakutungia sheria wewe Professor, Pole ndo maisha yalivyo!!Elimu inamaana ni la saba mwenzetu au alienda kumalizia kwa ras simba
Waluoandika wasifu ni wanadamu, wanaweza kukosea pia!!Yaani mtoto wa dr bingwa aishie la saba B, au sio mtoto halali wa Doctor
Nakuona Mange umekuja kivingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni Mange?
Duh!
Hii dunia imejaa waganga aisee!
Ndiyo uwe unatuamkia wazee wako.Kumbe ni rika na mama angu tu ,, Mama angu kampita na miezi 4 ,,Nilikuwa nataka nimtafute tuanze maisha , Hapana aise umri wake hatutawezana kabisa
Basi nchi hii haina wenyeji maana kila mtu maarufu lazima mseme wa nje!!!!mama wa manyovu kigoma . ni watusi by nature .
Watu mnaongea kwa uchungu utafikiri mna undugu nao..ebu mumuache dada wa watu ndo kashapata utajiri anaeumia ajinyonge afe
To make the story short.
She is in deed gold diggers
Ntuyabaliwe ni jina la kiha labda wahaya walitaka kutembelea nyota ya huyo Dada maana kwa sifa za kijinga wale jamaa hawajambo
Basi nchi hii haina wenyeji maana kila mtu maarufu lazima mseme wa nje!!!!
Manyovu ipo Kigoma na watu wa Manyovu ni waha lkn wanawake ni warembo mno.
Manyovu ni mpakani na Burundi na ni 45km kutoka kigoma mjini.
Jack ni Muha na ndugu zake waha wapo wengi tu kigoma.
Wakina money ponny wakaishia kusema eti wahaya wasiolewe.Wale waliokuwa wanasema ni muhaya nao wanakuja na wasifu wake huyu Ntuyabhaliwe wa Manyovu!!
Nimeweka makusudiOndoa “s” kwenye diggers
Hakuna yatima over 18Kylin ni YATIMA.Labda ungeanza kuuliza kuwa mama yake na baba yake walikufa akiwa na umri gani.Labda hilo litakufanya uelewe kwa nini hakuendelea hadi kupata degree
Mimi nakuzungumzia wewe sho.ga baada ya kuona unaleta mada za kike! Kumzungumzia mwanamke ni zaidi ya uchoko, ni uchoko+
Sikuwa na wala sina time kabisa ya kumuongelea Mengi wala Jaque lkn punga wewe siwezi kukuacha bure, nimekupa dawa yako.
Sho.ga+
Chuki tu na umasikini unakusumbua.Hakuna mwenye uchungu,watu wana-state cha kweli kwamba dada kapata utajiri kwa njia fulani hivi!
Na sio vibaya hata kidogo...
Tulikua tunaweka record sawa tu,sasa watu wamedhani eti watu wana chuki.....
Hakuna!
Umesema ni wa manyovu kwanini uwaite watusi!!??? Manyovu ni Rwanda au Burundi!!!?? Mbona Masai na Wajaruo waishio Tanzania hamuwaiti Wakenya!!?nawajua vizuri sisemi kwa ubaya .. dada yake alikuwa anaishi kwangu, na sasa ni marehemu . watusi wa manyovu wanasemekana ni waha lakini kama ujuavyo watu wa mipakani tena. nafikiri hata dereva wa mkuu wa mkuu wa mkoa wa kigoma ni ndugu yake pia . ndugu emili .
Ile group yao wote wana back ground ya English Medium kindergarten or primary school. Mama yake Klyn ni 0.5 ya mzungu na mbantu.Kidhungu alijifunzia wapi kwani kimenyoooka hasa katika uandishi kwa IG au google search.
Atakuwa alisoma zaidi ya darasa la Saba mweh!
Nimeweka makusudi
Yani kwamba kawadigi wengi sanaaaa.
"Joking .. hii ni auto correction ya simu zenu za kupapasa hizi"
Walitaka sifa kwa Jacky kuwa Muhaya au Muhaya kuwa mke wa Mengi? Sometimes mnakashifu Watu bila hata hoja za msingi. Watu wanatazama tu majina, yanaingiliana baadhi ya majina ya Kiha, Kihangaza, Kizinza, Kikerewe au Kijita na WahayaNtuyabaliwe ni jina la kiha labda wahaya walitaka kutembelea nyota ya huyo Dada maana kwa sifa za kijinga wale jamaa hawajambo