Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Babu mzee mwalimu Suluhu alikuwa bingwa wa kufundisha....ni marehemu kwa sasa waliobaki ni watoto wake akina mzee Rashid na wadogoze pamoja na wajukuu zake.......unataka tukawafukue makaburini muwahoji?!!!
 
Mkuu Kalamu uwezo wako wa kiuchambuzi ni mkubwa zaidi ya ulichokiandika hapa......

Mh.Rais SSH kwao ni Kizimkazi....amepita katika machujio ya kizalendo kufikia hapo alipo.....wamakunduchi ni wahadimu Kutoka huku bara... wamakunduchi wanajulikana kwa umakini wao na kuupenda uafrika.....wamakunduchi wanajulikana kwa UKOMREDI wao juu ya CCM......

Mh.Rais SSH ameshawahi kuwa mkurugenzi wa NGO's Zanzibar.....ameshawahi kuwa waziri wa utalii.....ameshawahi kuwa waziri wa muungano wa JMT......unadhani ni kwa bahati mbaya?!!!

Huyu mama yetu ni zaidi ya umuonavyo na umjuavyo....ni komredi haswa....kwake Tanzania kwanza kabla ya nafsi yake......

Wanaomjua watakuwa wanaisoma comment hii kwa furaha kubwa.....

#Aishi Milele Chifu Hangaya amen[emoji120]
 
Duuh kaanza kufanya KAZI akiwa na miaka 17 kwani chuo kamaliza na umri gani
 
Mbona kila kitu kiko wazi....hivi wanaJF hamjishughulishi kuangalia mambo rahisi?!!!

Mh.SSH ni mmakunduchi wa kizimkazi....

Ni mhadimu Kutoka huku bara.... wahadimu walihamia huko miaka mingi iliyopita.....

Wamakunduchi WANAUPENDA uafrika.....

Wamakunduchi ni wazalendo kwa ASP na CCM.....

Mmakunduchi SSH amepitia chekecho kali kuwa hapo alipo....akili yake kali ,uzalendo wake wa kuigwa ,ari ,ujasiri na ukakamavu wake ulimfanya awe mkurugenzi wa NGO's Zanzibar....akawa mjumbe wa baraza la wawakilishi.... akawa waziri wa utalii....akawa waziri wa muungano wa JMT.......

Baba yetu anajulikana....wanawe wanajulikana.....dada na kaka zake wanajulikana.....

Karibu katika sherehe za kitamaduni za kuoga mwaka(mwakakogwa) mwezi wa 7 utapata majibu yako yote utakayo......

Siempre SSH amen[emoji120]
 
[emoji2956]
 
Ujinga wako utakutoka lini?!!!
 
Kuna mzee mmoja kwenye uzinduzi wa Ikulu mpya juzi Dodoma, alipewa kiti akae wakati viongozi wote walikua wamesimama pale nje wakiwa wanasubiri kumpokea Samia akague gwaride. Jina lake limenitoka yule mzee.
Ujinga huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…