Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ujinga hautokuisha hata nikilala na aliyekuzaa wewe......Nikilala na Aliyekuzaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga hautokuisha hata nikilala na aliyekuzaa wewe......Nikilala na Aliyekuzaa.
Mimi utaniisha Nikilala na Aliyekuzaa.Ujinga hautokuisha hata nikilala na aliyekuzaa wewe......
Alipomaliza tu kidato cha 4 alianza kazi......mama yetu alijiendeleza kusoma akiwa katika ndoa mbichi....ni jambo la ajabu na gumu kwa wanawake wa kiafrika hususani kutoka Pwani ....hakupoa...hakupumzika aliendelea kuunganisha elimu mpaka kuchukua ADvDipl pale Chuo Kikuu Mzumbe na baadaye kuelea katika bahari ya elimu huko Manchester....Marekani....India.....Open University ya Tanzania....Duuh kaanza kufanya KAZI akiwa na miaka 17 kwani chuo kamaliza na umri gani
Kamwe hautokuisha mtoto wangu wa kambo......Mimi utaniisha Nikilala na Aliyekuzaa.
[emoji120]Nitakaribia usijari. [emoji120]
Umeamua kutukana....siwezi kukuzuia mkuu wangu[emoji120]Tulishawahi kuburuzwa na mrundi, kinyume na katiba kabisa
Asante sana mleta mada.
- Open University
okUjinga huo
Miaka hiyo Zanzibar hawakuwa na shule zinazofundisha elimu ya kidato cha 5 na 6?!Alipomaliza tu kidato cha 4 alianza kazi......mama yetu alijiendeleza kusoma akiwa katika ndoa mbichi....ni jambo la ajabu na gumu kwa wanawake wa kiafrika hususani kutoka Pwani ...
No 10 sio kweli hakuna mwislam anayezikwa na ubini wa mama,hata huyo issa bin mariam uliyemtolea mfano ni kwakuwa inasemekana alizaliwa bila babaHapa tunahitaji elimu ya baiyolojia.
P.
- Life span ya ovum ni 24 hours, not a day more, not a day less!.
- Life span ya x- sperm ni 24 hours, not a day more, not a day less!.
- Life span ya y- sperm ni 72 hours, not a day more, not a day less!.
- x- sperm is ina speed and travels faster than y-:sperm ila x sperm is weaker than y,-sperm
- Ili mtoto wa kiume atungwe, lazima tendo lifanyike within 6 hours after ovulation.
- Mwanamke akifanywa 2 days before ovulation day, x sperms zote zinakufa within 24 hours, hivyo yai likishuka linaovushwa na y-sperm inatungwa ya mtoto wa kike.
- Mwanamke akilala na mwanaume huyu leo, na mwanaume huyu kesho, halafu akapata ovulation on the 3 day, y sperms za wanaume wote wawili zitakuwa hai, hivyo hawezi kujua for sure ni ujauzito wa yupi mpaka mtoto azaliwe!.
- Hivyo kuna mababa wengi tuu, tunalea watoto ambao sio wetu bila kujijua tukiaminishwa ni wetu!.
- Anayejua for surely who is baba halisi wa mtoto, ni mama!.
- Ndio maana wenzetu Waislamu, wanapozika marehemu wao, wanawazika na kwa jina la ubini wa Mama na sio baba kama Nabii Issa bin Maryam.
Nenda Makunduchi kawaulize watakuonesha.Kwamba baba yake ni Marehemu Suluhu Hassan?
Lipo wapi kaburi Hilo?
Sasa si yeye ni Rais kupitia umakamu. Yupo pale, pamoja na mambo mengine ni kusubiri lolote likitokea Yeye awe Raishawa ma vaisi prezidenti mi sioni hata umuhimu wao, ama kuna laziada wnafanya?
Inawezekana, kwa sababu ya tabia ya ung'ang'anizi wake na kutumia manguvu badala ya akili; lakini jambo kama hili kama aliambiwa na akapuuza kama alivyopuuza COVID-19, basi atakuwa ni kiongozi wa hovyo sana.Wakulaumiwa ni Magufuli
Atachimbua kuhakiki DNA kama zinakubaliana.Nenda Makunduchi kawaulize watakuonesha.
Hivi wakikuonesha hili hapa utalihakiki vipi?
Lakini nadhani mada hii inao uzito zaidi ya huko kuwekewa "pandikizi" na watu wengine mbali ya waTanzania wenyewe kuamua kiongozi wanayemtaka awaongoze.Kama pandikizi la Burundi!
Ni furaha kujua you are around! Kitambo sijaona machapisho yako JF.In that case, who’s the daddy?
Huyo 'jamaa' elimu yake ni ya ajabu sana.Huoni kwamba unaji contradict ? Tushike lipi tuache lipi?
Bullet point yako namba 7, Mama mtu hawezi jua Baba ni nani iwapo amelala na watu wawili ndani ya siku kadhaa za ovulation, ndio sayansi. Sentensi yako namba tisa, "anaemjua baba ni mama" ni total garbage, msemo wa Waswahili tu, Nakusoma nielewe umekuja na sayansi ya kuni support au kunipinga nione nimekosea wapi, nakuta humo humo unaji contradict we mwenyewe, mbona unakurukupa kurupuka tu Mayalla ?