Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Anatosha mpaka 2030.
 
Ni mchango wa kidhahania zaidi.
"...kidhahania...", hili ni neno jipya kwangu.

Lakini kama linakaribiana na neno jingine ninalolijua "nadharia", hapa ningesema hapana. Mchango wangu ungekuwa halisia kabisa.
Kuchimbua kaburi ni jambo la kawaida sana

Kuchukua sampuli toka kwa maiti iliyozikwa mule, siyo kazi ngumu

Kupima sampuli hiyo na kulinganisha na iliyotokana na ndugu siyo jambo jipya.

Sasa hii "dhahania" inahusu nini hapa!
 
Nenda kachimbe ufanye hivyo basi kama ni jambo la kawaida kabisa.
 
Ahsee hili swala la Bandari mm nipo tayari kukataa na kuandamana kukataa mikataba mibovu ya kihuni ili watu tu wachache wanufaike. Nina wasiwasi huu mkataba wa Bandari Kuna wahuni wachache wamekula rushwa ili waupitishe bungeni spika akiwa namba moja hawa akina kitenge wananusishwa tuuu.

Ebu leteni CV ya huyu mama tumchuje mbona Bandari ya zanzibar ipo salama kwann ya huku Bara???. Hapa hapana uzalendo mbele huenda ana elimu ya kuunga Unga ndowale mpaka upige foundation course chuo huria huku una ma F na D mbili kwenye cheti. Huyu mbona mpaka vyeti vyake tutaviona tu
 
Utumwa wa hela unatuandama vibaya,Hakuna cha mzalendo tena hakii.
Hata upewe mabilioni kila sekunde huwez kuyatumia Kwa fraha ilihali raia wanasotea kula Yao tu ya siku moja. Anataka kuleta warabu nchi iwe ya wapemba na magaidi humu. Hatutaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…