Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Baba anayemjua ni Mama.

Mpaka leo kuna Wazanaki wanasema baba yake Julius Nyerere si Chifu Nyerere Burito.

Habari hii ina utata mkubwa, haijathibitishwa na sijui kama inaweza kuthibitishwa.

Wanasema Mama yake Nyerere aliondoka kwa Chifu na akarudi baadaye na mimba changa, ila kimila kitanda hakizai haramu, mtoto ni wa Chifu tu.

Wazee wa zamani wa Kizanaki ambao wengi washatangulia waliijua nii habari. Ila imekuwa siri sana Uzanaki hawataki kuisema.

Ndiyo maana, kwa mujibu wa J.K Nyerere kwenye moja ya hotuba zake, Wazanaki mtoto harithi mali ya baba yake.

Mtoto anarithi mali ya mjomba.

Kaka wa mama. Kwa sababu mama na kaka yake wameonekana walizaliwa na mama mmoja, na mama kaonekana kazaa mtoto, hapo hakuna utata wa undugu.

Ukienda kwa baba huko bila DNA ni kubahatisha tu.

Poppy Hatonn
 
Mkuu na wale wanaoshinda kiasi kikubwa na makampuni yanawalazimisha kukaa kwenye tv vipi
Sheria za kampuni wanakulazimisha kwenye ile terms of use (vigezo na masharti kuzingatiwa) kwamba ukishinda kampuni Ina hakimiliki kisheria kutumia hundi yako ya ushindi, picha zako pamoja na jina lako kufanyia promotion bila MALIPO, yaan unalipwa chako alafu kampuni inatumia jina na picha yako kuvuta wateja wengine sasa km ulikubariana na vigezo na masharti ukacheza ukashinda ukagoma wanakupeleka kwenye vigezo na masharti ya MCHEZO hapo ndio mtu anaachia jina anakubari kupigwa picha hundi inaonyeshwa na yeye anaonyeshwa kisha analipwa Pesa zake, hutaki kuonekana hutaki jina lako litangazwe acha pesa za kampuni maana unakiuka vigezo na masharti ya MCHEZO
 
Mkuu ya mjomba kivipi hapo emu fafanua kwanza, kwa hio Mali za baba zinarithiwa na nani?
Kizanaki mali za baba hazirithiwi na mtoto wake.

Kwa sababu bila DNA hatuna uhakika huyo ni mtoto wake kweli au alisaidiwa na jirani.

Mali za baba zinarithiwa na mtoto wa dada wa baba.

Kwa sababu, tunajua baba na dada yake wamezaliwa na mama mmoja, na mtoto wa huyo dada kazaliwa na huyo dada.

Hivyo hapo hakuna utata wa undugu, mtoto wa kuzaliwa wa dada yako, dada uliyezaliwa naye tumbo moja, akirithi mali zako, hapo haihitajiki DNA kujua undugu.

Lakini, ukirithi mali za baba, tutajuaje huyo ni baba yako halisi?

Source- Julius Kambarage Nyerere speech.
 
Mkuu na wale wanaoshinda kiasi kikubwa na makampuni yanawalazimisha kukaa kwenye tv vipi
Kuna jamaa alipata hela kubwa tu tatizo aliwekwa kwenye tv, kwenye hii wiki alipata simu zaidi ya 50. Kutoka kwa ndugu, classmate,jamaa,marafiki,majirani na wafanyakazi wenziwe.
Wengine hawajaongea miaka 20 nyuma, hela ni sumaku ya moyo
 
Kuna jamaa alipata hela kubwa tu tatizo aliwekwa kwenye tv, kwenye hii wiki alipata simu zaidi ya 50. Kutoka kwa ndugu, classmate,jamaa,marafiki,majirani na wafanyakazi wenziwe.
Wengine hawajaongea miaka 20 nyuma, hela ni sumaku ya moyo
Si unaona ni ngumu ukiwa unafanya hayo mambo ukapiga kiasi kikubwa
 
Jiulize kwanza kwa nini watoto wako wanafanana na jirani yako?. Au wewe mwenyewe kwa nini unafanana na jirani?
Kwa sababu mke wako kila aliposhika mimba alikuambia anamchukia sana jirani yako fulani wa kiume, lakini mimba zake hazikuwa na shobo na jirani zake wa kike.

Negation of negation is true. Hizo ndizo hisabati za kimantiki.
 
Nchi imefika mahali, tunaweza kuwekewa pandikizi toka popote na akawa ndiye kiongozi wanchi.
Kama hali hiyo siyo ya kutisha, tuiite ni hali ya namna gani hiyo?

Sijasema popote kuwa aliyepo sasa ni pandikizi, lakini inawezekana, kwa sababu hatujui alitokea wapi hadi akafika alipo sasa.
Great point bro! Huyu mama siju alitokea wapi hadi akawa mgombea mwenza 2015, maana hakuna aliyekuwa anamjua kabla ya hapo. It's about time people question her real (family) background, as it remains a mystery to many Tanzanians to date.
 
Nchi imefika mahali, tunaweza kuwekewa pandikizi toka popote na akawa ndiye kiongozi wanchi.
Kama hali hiyo siyo ya kutisha, tuiite ni hali ya namna gani hiyo?

Sijasema popote kuwa aliyepo sasa ni pandikizi, lakini inawezekana, kwa sababu hatujui alitokea wapi hadi akafika alipo sasa.
Ingependeza mngewasiliana na ofisi ya mawasiano Ikulu, hapa JF mnaweza kupotoshwa bure.
 
Eehhh!!...Hiiiiii

[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Utapimwa mkojo wewe
 
Back
Top Bottom