Anonymous
Senior Member
- Apr 6, 2006
- 118
- 339
Halmashauri ya Babati mji iliyoko wilayani Babati mkoani Manyara ni moja ya halmashauri zinazoendelea na tukio la ufanyikaji wa mtihani wa taifa kidato cha 4 huku wasimamizi wakiwa ni moja ya wahusika wakuu katika zoezi hilo.
Wasimamizi hao walipewa kiasi cha pesa kulingana na siku wanazosimamia katika vituo husika kupitia ofsi ya uhasibu ya halmashauri lakini cha kushangaza ni baadae kuitwa ofsi za idara ya elimu kurudisha kiasi cha pesa hizo walizolipwa.
Sababu walizopewa ni kuwa wataenda wachache kwa kubadilishana siku za Practicals kwa masomo ya fizikia, kemia na mengineyo ambayo ni optional subjects. Wadau wanahoji, kama ilikuwa ni official kwa nini pesa isingekusanywa na idara iliyowalipa (uhasibu)?
Je, pesa zitarudi sehemu husika au zitakaa mifukoni mwa watu? Utaratibu huo ndo unatumika sehemu zote au ni double standard?
Wasimamizi hao walipewa kiasi cha pesa kulingana na siku wanazosimamia katika vituo husika kupitia ofsi ya uhasibu ya halmashauri lakini cha kushangaza ni baadae kuitwa ofsi za idara ya elimu kurudisha kiasi cha pesa hizo walizolipwa.
Sababu walizopewa ni kuwa wataenda wachache kwa kubadilishana siku za Practicals kwa masomo ya fizikia, kemia na mengineyo ambayo ni optional subjects. Wadau wanahoji, kama ilikuwa ni official kwa nini pesa isingekusanywa na idara iliyowalipa (uhasibu)?
Je, pesa zitarudi sehemu husika au zitakaa mifukoni mwa watu? Utaratibu huo ndo unatumika sehemu zote au ni double standard?