'Wasimamizi wa ndoa ni 'Pisi Kali' kuliko Mabibi Harusi'

Picha umepeleka wapi
 
Nafikiri ameongelea matron kizaidi.. ila wengi nawona hamufahamu alilonena.. hivyo munafikiria ma maids. Inasikitisha sana.. ongezeni na wazee wenu wawafunze..

Nachojua wengine hata wakisimamia walio kwa ndoa ndio wanasaini.. bali wapo pembeni na ukubwa wao 😄
 
Hii tu ndio nimeona point
 
Nahisi kuna kitu anachanganya hapo. Mfano kwa wakristu najua wasimamizi lazma nao wawewana ndoa

alaf sasa kuna vile vidada vinavyo misindikiza bibi harusi sijui ndio mnaviita bridesmaids
 
Weka picha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…