GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.
Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.
Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?
Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.
Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.
Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?
Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.
Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?