Wasio na Akili nao wanaandaa Tamko lao la 'hovyo hovyo' Kupingana na Tamko la wenye Akili duniani

Wasio na Akili nao wanaandaa Tamko lao la 'hovyo hovyo' Kupingana na Tamko la wenye Akili duniani

GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.

Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.

Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?

Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.

Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
Mwenye akili hapigi goti mbele ya sanamu alilochonga kwa mikono yake Kisha akaliomba
 
GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.

Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.

Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?

Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.

Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
Poti Genta, umeongea na umeeleweka sana kuhusu akili kubwa na ndogo. Ndo watu anavyotaka kutapatapa namna hii. Ni hatari sana. Tunataka nchi yenye amani, kama mwenzetu anakosea aombe msamaha na si kupigana kwa maneno.
 
Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO
Kwenye huo msururu wako ondoa: Wabunge, maHakimu na maPolisi.

Kada hizo bila ya kujali ama kuangalia dini zao ndiyo walitaka kuliingiza Taifa kwenye machafuko.

Wabunge:... Dp world "ndiyoooooooo 👏👏👏👏"

Majaji: "vipengele katika vifungu kadhaa vya mkataba ni vibovu tutalishauri bunge livirekebishe na hatuwezi kuingilia muhimili wa Bunge"!

Mapolisi(Igp)..."kuna watu wanataka kuipindua Serikali"

Sasa kuna watu wana dini na hofu ya Mungu hapo?

Nchi inapoingia kwenye mtanziko kama huu, tulitegemea taasisi kama hizo sasa zitumie taaluma zao kuliponya Taifa, badala yake wote wamekuwa ni machawa wa ridhaa, bila ya soni ama haya nyusoni mwao tena bila kujali impact ya maamuzi yao ya hovyo kwa Taifa!
 
GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.

Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.

Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?

Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.

Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
Acha uoga tuliaaaaa mbona bado sana unaanza kupaparika
 
Movie la kijasusi kabisa hili Mimi nipo Kona na popukoni huku nikishuhudia mnyukano
 
Utashangaa utawaona wale bongo movie na waimba singeli na watangazaji wapiga kelele hapo
Ndiyo wanatoa tamko [emoji1]

Ova
 
GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.

Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.

Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?

Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.

Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
GENTAMYCINE sisi sayansi yetu imeishia pale ambapo jua linazama matopeni
 
Anaesema hiv ni muumini wa Dini ambayo inasema Mungu aliwatuma maria na yusuph wakimbie na yesu asije akauliwa ambae yesu ni Mungu. Alaf anadai na yeye ana akili
"tunae Mama yake Mungu , daima atuombea kwa mwanae(Yesu kristo)".
Tunakimbilia ulinzi wako mzazi mtakatifu wa Mungu usitunyime tukiomba katika shida zetu, tuoke siku zote kila tuingia hatarini Eeh Bikra mtukufu na mwenye Baraka, Amina.
 
GENTAMYCINE najua kuwa Usiku Kucha mlikuwa na Vikao huku mkipigiwa Simu na anayetaka mumsaidie baada ya kuona Zigo la Msubi Aliyeondoka linaenda Kumuangukia ila nawaonyeni kuweni makini sana msije Mkamponza.

Na najua sasa mnataka Kuhamisha Mjadala kutoka Maji, Mizigo na Samaki Perege na Kuibua wa wana Friday na wana Sunday mkijidanganya kuwa mtaungwa mkono wakati ndiyo Mtapuuzwa zaidi.

Halafu mnapata wapi Nguvu ya Kujipanga Kuwajibu wenye Akili wakati nyie Wenyewe hadi #4 ( sasa Mstaafu ) mmesomea katika Shule zao na kupata Akili kidogo za Kuwawezesha angalau Kulitambua?

Na nimetaarifiwa kuwa Tamko lenu Msio na Akili kwa Makusudi mmepanga kulitoa Kesho Jumapili hivyo nami GENTAMYCINE nalisubiri nilione ili nithibitishe kuwa kweli Kichwani Hamnazo kabisa.

Litoeni mkale Pilau na Nyama sawa?
Uzuri ni kwamba..wino ulishanwagwa tayari.

Na hakuna wa kumzuiya mjukuu wa mudy kuchukua salt water.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom