Wasiolipa kodi ya pango la ardhi wapewa siku 30

Wasiolipa kodi ya pango la ardhi wapewa siku 30

Kuna mfumo wa kulipa kupitia control namba, Hili la kuongeza masaa ya kazi mpaka saa mbili ni kwavile watanzania wengi hawana elimu ya haya mambo, hivyo itawalazimu waende kucheki records na kupewa taratibu za kufanya hayo malipo
 
Kuna mfumo wa kulipa kupitia control namba, Hili la kuongeza masaa ya kazi mpaka saa mbili ni kwavile watanzania wengi hawana elimu ya haya mambo, hivyo itawalazimu waende kucheki records na kupewa taratibu za kufanya hayo malipo
Mkuu fafanua kidogo hapa huo utaratibu wa kulipa kupitia control namba kuna namna unaweza kulipia online
 
Ugumu unaanzia pale unapotakiwa ukapange foleni huko maofisini wafanye namna hata kulipia kwa njia ya mtandao watu wengine wako mbali wengine majukumu yanabana
Wizara inaendesha ki hoe hae na wakati waziri wake ni msomi
 
Yani ubabe ubabe tu sasa mtu umepanga lakini unalipia kodi ya jengo kupitia luku.
Wajanja sana maana wanajua watapata multiple effects maana kama jengo moja la apartments lenye nyumba let say 4 linatakiwa lilipe kodi moja tu, ila through luku linalipa kodi nne assume kila apartment ina luku yake.

Same technique wameitumia kwenye road license ambayo ilikua kwa watumia barabara, ila ikaondolewa na kuweka kwenye matuta na kufanya hata wasiotumia barabara walipie indirectly.
 
Wajanja sana maana wanajua watapata multiple effects maana kama jengo moja la apartments lenye nyumba let say 4 linatakiwa lilipe kodi moja tu, ila through luku linalipa kodi nne assume kila apartment ina luku yake.

Same technique wameitumia kwenye road license ambayo ilikua kwa watumia barabara, ila ikaondolewa na kuweka kwenye matuta na kufanya hata wasiotumia barabara walipie indirectly.
Nchi inaendeshwa kijanja janja sana hii...nchi ngumu sana hii
 
Back
Top Bottom