Wasiostahili kurudi bungeni 2010

Kama ni kelele za mlango mbona unashindwa kuthibitisha hayo mafanikio yake?

- Kelele za mlango ndani watu wamelala, endelea nazo najua nimekubana sana mbavu kule kwenye topics zingine, utakufa na kijiba cha rohoni mkuu utabadili majina mpaka uchoke mimi wembe ni ule ule haujabadilika.

Later!

FMEs!
 
I am missing something here...who is Jumanne by the way.....help!
alibadilishwa jina na wakina "el jadawi" mwaka 95 na kujazwa mapesa ya kugombea kiti cha uraisi CCM hatujui angerudishaje pesa zile.....JKN akamshikia bango kichizi......shem ufisadi jamaa kauanza zamani....
 

- Mkuu Uwiano napumzika sasa maana hakuna la maana hapa ni kujaza tu pages bila hoja muhimu kwa taifa, naomba niwachie muendele kuwmaga sumu zenu.

Respect.

FMEs!
 
- Kelele za mlango ndani watu wamelala, endelea nazo najua nimekubana sana mbavu kule kwenye topics zingine, utakufa na kijiba cha rohoni mkuu utabadili majina mpaka uchoke mimi wembe ni ule ule haujabadilika.

Later!

FMEs!

Si umesema unaondoka vipi tena? Na sijaona wapi ulipo nibana hiyo umeona mwenyewe.
 
alibadilishwa jina na wakina "el jadawi" mwaka 95 na kujazwa mapesa ya kugombea kiti cha uraisi CCM hatujui angerudishaje pesa zile.....JKN akamshikia bango kichizi......shem ufisadi jamaa kauanza zamani....

Mkuu wa Kinyerezi...unakumbu kumbu sana...hili watu wa Mtera wanalijua? Itabidi tufungue thread....mzee unajua ulivyopotea nilikufungulia thread eti ulipigwa na mabomu ya Mbagala ukifatilia K mtaani...
 
alibadilishwa jina na wakina "el jadawi" mwaka 95 na kujazwa mapesa ya kugombea kiti cha uraisi CCM hatujui angerudishaje pesa zile.....JKN akamshikia bango kichizi......shem ufisadi jamaa kauanza zamani....

- You got it right, alibadili jina na saa anaitwa jumanne ndio niaita kelele za mlango maan haziwezi kumsaidia mwananchi wa Tanzania hata kidogo ila huwairidhisha wanamchukia, huku mzee akiendelea na shughuli zake, yoyo mzee kama hakusoma sio kosa la wazee wengine bwa! ha! ha!

Respect.

FMEs!
 
- Mkuu Uwiano napumzika sasa maana hakuna la maana hapa ni kujaza tu pages bila hoja muhimu kwa taifa, naomba niwachie muendele kuwmaga sumu zenu.

Respect.

FMEs!

Baada ya mapumziko, mafanikio ya dingi yanasubiriwa hapa.

Kama hakuna, mwambie apumzike kugombea ubunge. Asije zaragazwa kwenye majukwaa na vikao vya chama, aadhirike na uzee huo. Malecela kwishne!!!
 
Masanilo;450598[COLOR="Red" said:
]Mkuu wa Kinyerezi...unakumbu kumbu sana...hili watu wa Mtera wanalijua? Itabidi tufungue thread.[/COLOR]...mzee unajua ulivyopotea nilikufungulia thread eti ulipigwa na mabomu ya Mbagala ukifatilia K mtaani...

Ukianzisha thread hiyo wengine wataumia roho haha. Maana wamesha kula hela za kumpigia kampeni sasa ukimsema tu uta tafuta ugomvi hahaha.
 
So mafanikio ya Mtera hakuna jimbo lolote Tz is that what you are saying? Na nani kabeza maendeleo ya Mtera. Sema wewe umeishiwa na hoja za kumtetea so kapumzike bwana utafute hoja zingine. Have a nice day. Thanks for your opinions.

- Yangekuwepo kwenye majimbo mengine ungeshayasema, next time utakapokuwa Dodoma pitia bungeni wananchi wanaruhusiwa utaona hiyo record imewekwa wazi mkuu!

Respect.

FMEs!
 
Mkuu wa Kinyerezi...unakumbu kumbu sana...hili watu wa Mtera wanalijua? Itabidi tufungue thread....mzee unajua ulivyopotea nilikufungulia thread eti ulipigwa na mabomu ya Mbagala ukifatilia K mtaani...
ndio maana nasema wana mtera sio wajinga tena......mzee J4 hata alete mamluki toka NYC haambulii kitu.....

....tetehe mabomu yamenikosa kosa...
 
Baada ya mapumziko, mafanikio ya dingi yanasubiriwa hapa.

Kama hakuna, mwambie apumzike kugombea ubunge. Asije zaragazwa kwenye majukwaa na vikao vya chama, aadhirike na uzee huo. Malecela kwishne!!!

- Dua la kuku, poleni wote najua nimewabana sana mbavu kwenye topic za Rostam, sasa mnajaribu kujiliwaza poleni sana!

Wazee wa meli FMEs!
 
alibadilishwa jina na wakina "el jadawi" mwaka 95 na kujazwa mapesa ya kugombea kiti cha uraisi CCM hatujui angerudishaje pesa zile.....JKN akamshikia bango kichizi......shem ufisadi jamaa kauanza zamani....

Ali badilisha jina kisa pesa? I never knew that. Dah huku kutaka madaraka ya maisha kuta fanya wengine wabadilishe hata majina yao ya ukoo.
 
Unaweza kutuambia kwanini alibadili jina?
 

- Dua la kuku, poleni wote najua nimewabana sana mbavu kwenye topic za Rostam, sasa mnajaribu kujiliwaza poleni sana!

Wazee wa meli FMEs!

Wewe ndiyo umebanwa mbavu mpaka umeamua kutaja "mafanikio" yako kwenye thread zingine. Hapa RA ana husika vipi? Hii si sawa na kukubali kushindwa na kuji furahisha kuwa "uliwaweza" kwenye thread zingine.
 
Unaweza kutuambia kwanini alibadili jina?

- Alibadili jina na kuitwa Jumanne ili apewe pesa si unajua kua anazo nyingi sana mpaka leo alizopewa na Iran kama ulivyosema mwenyewe, sasa wewe ndio umeleta hii hoja halafu unauliza maswali vipi tena mkuu, BWa! gha! ha!

Respect.

FMEs!
 
Wewe ndiyo umebanwa mbavu mpaka umeamua kutaja "mafanikio" yako kwenye thread zingine. Hapa RA ana husika vipi? Hii si sawa na kukubali kushindwa na kuji furahisha kuwa "uliwaweza" kwenye thread zingine.

- Mafaniko yangu yapi hayo? Mkuu vipi mbona hueleweki kama kawaida yako?

FMEs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…