- Mkuu jimbo la Mtera linaongoza kwa taifa zima kwa kuwa na zahanati na shule, kwa kila kata yaani kata zote 51, na ni majuzi tu bara bara ya kutoka Dodoma kwenda Muvmi imekarabatiwa vizuri sana, sasa safari ya masaa 8, imefupishwa na kuwa masaa manne tu!
Ahsante.
William.
tehe tehe tehe zile pesa alizoahidiwa na waarabu angezirudishaje?.....unajua J4 kama RA tu......mshauri akaendelze shamba lake la ekari 300 Kongwa- Eti kubadili jina alivunja sheria ya Tanzania?
FMEs!
- Eti kubadili jina alivunja sheria ya Tanzania?
FMEs!
- Eti kubadili jina alivunja sheria ya Tanzania?
FMEs!
1995 ulikuwa bado dogo.......willy kakubali kuwa alibadili....muulize sababu
- Dua la kuku, poleni wote najua nimewabana sana mbavu
Wazee wa meli FMEs!
Sheria za kanisa lake maana Jumanne lazima aende msikitini...!
Ndio maana yake! Bado jimbo la mtera kutompa kura Malecela, uchaguzi ujao.- Ndio maana Mbeya wakamkataa Mboma maana hana jpya au? Bwa! ha! ha!
FMEs!
Umebanwa mbavu kumbe, halafu mzee wa meli una mambo ya kutafuta ushindi na sio madiliano.
Ukweli kuhusu Malecela ni kwamba hawezi tena uongozi achia mbali ubunge. Akili yake iko kwenye senescence, ni muda wa kula pension.
Umeaga kwenda mapumziko lakini bado upo upo...
sorry mkuu...unajua watu wawili wawili hata mie kuna watu wananifananisha na masanilo.....nilikufananisheni maandishi..samahani sana- Mkuu yoyo mimi sio Willy, naomba ukome sana kwenye hilo! Mimi ninaitwa field Marshall Es Wazee wa sauti ya umeme, vipi tena mbona umezna ya kujuana ambayo wewe mwenyewe ulisema huyataki?
- Naomba kwenye hili ukome sana mkuu! sikujui na wewe hunijui wewe simamia hoja yako ya Malecela kubadili jina maana alivunja sheria ya Tanzania.
Respect.
FMEs!
Ndio maana yake! Bado jimbo la mtera kutompa kura Malecela, uchaguzi ujao.
- i am having fun na wananchi wasioelewa matatizo ya taifa lao, ila wamejawa na chuki zisizokuwa na sababu, this is fun!
FMES!
- Na kanisa lake wewe ndiye mchungaji au? Bwa! ha! ha! sasa kwanini hujamuadhibu unakuja kulia JF? Hapa sio kanisani mkuu au? Bwa! ha! utupu bwana hasara sana!
FMEs!
1995 ulikuwa bado dogo.......willy kakubali kuwa alibadili....muulize sababu
Unakumbuka mwaka 1984 aliwaambia Watanzania 'Go to hell'? kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi akawageuka pale walimpomletea vilio vyao. Kama alisema hivyo mwaka 1984, mwaka 2011 tuproject atasema nini.
Kule kanisani mzee hujui kama ametengwa teh teh teh usiku mwema mtani....tunakuchemsha tu hapa....Malecela ni mbuge wa maisha kule Mtera...nani anabisha? hakuna kama yeye kule jimboni teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi hata akiwa analala bungeni...teh teh teh ....hata akitoa pumba maana akili yake inaishiwa nguvu teh teh teh teh...
Good nite buddy
... hata siku moja siwezi kuja hapa kumlilia mbunge ambaye hana kosa kwenye taifa, vipi wakuu mmeishiwa topics vipi?
Si sahihi kusema huyu Mbunge hana makosa.
"Jummanne" aliitwa "mhuni" aliyewaambia wananchi "nendeni jehanamu," akaja kukataliwa Dodoma Vijijini uchaguzi wa mwaka 1985, mpaka ikabidi wamfanyie gerrymandering ndio akaja kushinda baadae.
Bisha!