Wasiostahili kurudi bungeni 2010

Wasiostahili kurudi bungeni 2010

- Mkuu jimbo la Mtera linaongoza kwa taifa zima kwa kuwa na zahanati na shule, kwa kila kata yaani kata zote 51, na ni majuzi tu bara bara ya kutoka Dodoma kwenda Muvmi imekarabatiwa vizuri sana, sasa safari ya masaa 8, imefupishwa na kuwa masaa manne tu!

Ahsante.

William.

Kwa matinki hii ndiyo maana badhi ya mikoa yetu kama vile Kigoma, Mtwara, Lindi na Tanga bado iko nyuma sana kimaendeleo maana Wabunge wake 'hawana sauti' kubwa ndani ya serikali ili kuharakisha maendeleo katika mikoa hiyo. Kuna haja ya kubadili katiba ili Wabunge kama Rais wakae bungeni kwa awamu mbili tu.
 
- Eti kubadili jina alivunja sheria ya Tanzania?

FMEs!

Kwani nimesema amevunja sheria? Haujui kusoma? Nimesema his name is not important anaweza kujiita chochote atakacho. Au ndiyo technic zako hizo za "kuvunja watu mbavu". Nimesema he call call himself whatever he wants we unaniuliza kwani kavunja sheria.
 
1995 ulikuwa bado dogo.......willy kakubali kuwa alibadili....muulize sababu

- Mkuu yoyo mimi sio Willy, naomba ukome sana kwenye hilo! Mimi ninaitwa field Marshall Es Wazee wa sauti ya umeme, vipi tena mbona umezna ya kujuana ambayo wewe mwenyewe ulisema huyataki?

- Naomba kwenye hili ukome sana mkuu! sikujui na wewe hunijui wewe simamia hoja yako ya Malecela kubadili jina maana alivunja sheria ya Tanzania.

Respect.

FMEs!
 

- Dua la kuku, poleni wote najua nimewabana sana mbavu

Wazee wa meli FMEs!


Umebanwa mbavu kumbe, halafu mzee wa meli una mambo ya kutafuta ushindi na sio majadiliano.

Ukweli kuhusu Malecela ni kwamba hawezi tena uongozi achia mbali ubunge. Akili yake iko kwenye senescence, ni muda wa kula pension.

Umeaga kwenda mapumziko lakini bado upo upo...
 
Umebanwa mbavu kumbe, halafu mzee wa meli una mambo ya kutafuta ushindi na sio madiliano.

Ukweli kuhusu Malecela ni kwamba hawezi tena uongozi achia mbali ubunge. Akili yake iko kwenye senescence, ni muda wa kula pension.

Umeaga kwenda mapumziko lakini bado upo upo...

- i am having fun na wananchi wasioelewa matatizo ya taifa lao, ila wamejawa na chuki zisizokuwa na sababu, this is fun!

FMES!
 
- Mkuu yoyo mimi sio Willy, naomba ukome sana kwenye hilo! Mimi ninaitwa field Marshall Es Wazee wa sauti ya umeme, vipi tena mbona umezna ya kujuana ambayo wewe mwenyewe ulisema huyataki?

- Naomba kwenye hili ukome sana mkuu! sikujui na wewe hunijui wewe simamia hoja yako ya Malecela kubadili jina maana alivunja sheria ya Tanzania.

Respect.

FMEs!
sorry mkuu...unajua watu wawili wawili hata mie kuna watu wananifananisha na masanilo.....nilikufananisheni maandishi..samahani sana

.....huu ni ushauri wangu tu mkuu tinga tinga apumzike sasa ....ni aibu mzee kama yule aliefanya kazi miaka mingi kwa taifa lake aje atupiwe mawe au azomewe
 
Ndio maana yake! Bado jimbo la mtera kutompa kura Malecela, uchaguzi ujao.

- Tuambie yaliyomsibu General kule, maana ile ilikuwa aibu sana mkuu tupe yaliyojiri mku maana unayajua yote mkuu Pretty, bwa! ha! ni haki yako kujiita hilo jina maana duh! ,,,,,,,,,,!Bwa! ha! ha! pretyyyyy!

FMEs!
 
- i am having fun na wananchi wasioelewa matatizo ya taifa lao, ila wamejawa na chuki zisizokuwa na sababu, this is fun!

FMES!

Unakumbuka mwaka 1984 aliwaambia Watanzania 'Go to hell'? kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi akawageuka pale walimpomletea vilio vyao. Kama alisema hivyo mwaka 1984, mwaka 2011 tuproject atasema nini.
 
- Na kanisa lake wewe ndiye mchungaji au? Bwa! ha! ha! sasa kwanini hujamuadhibu unakuja kulia JF? Hapa sio kanisani mkuu au? Bwa! ha! utupu bwana hasara sana!

FMEs!

Kule kanisani mzee hujui kama ametengwa teh teh teh usiku mwema mtani....tunakuchemsha tu hapa....Malecela ni mbuge wa maisha kule Mtera...nani anabisha? hakuna kama yeye kule jimboni teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi hata akiwa analala bungeni...teh teh teh ....hata akitoa pumba maana akili yake inaishiwa nguvu teh teh teh teh...

Good nite buddy
 
Unakumbuka mwaka 1984 aliwaambia Watanzania 'Go to hell'? kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi akawageuka pale walimpomletea vilio vyao. Kama alisema hivyo mwaka 1984, mwaka 2011 tuproject atasema nini.

- Naomba nikalale sasa, maana this is incredible, hivi ni wewe tu Tanzania unayejua hayo aliyoyasema 1984? Mtera hawajui kuwa alsiema hayo?

- aliyasema wapi? Na alimwambia nani?

Haw kwaherini later wakuu!

FMEs!

 
Jamani someone said anaenda kupumzika amechoka kulumbana. Au maana ya kupumzika ni kutuma post zaidi sielewi? maana tulisha mruhusu na kumuaga aka pumzike salama ila tunaona post zake zina tiririka tu.
 
Kule kanisani mzee hujui kama ametengwa teh teh teh usiku mwema mtani....tunakuchemsha tu hapa....Malecela ni mbuge wa maisha kule Mtera...nani anabisha? hakuna kama yeye kule jimboni teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi hata akiwa analala bungeni...teh teh teh ....hata akitoa pumba maana akili yake inaishiwa nguvu teh teh teh teh...

Good nite buddy

- huu ndio uwezo wako wa kufikiri unapoznaia na kuishia, pole sana mkuu!

FMEs!
 
Wazee wakongwe kama malecela wakizomewa jukwaani haipendezi......
 
... hata siku moja siwezi kuja hapa kumlilia mbunge ambaye hana kosa kwenye taifa, vipi wakuu mmeishiwa topics vipi?

Si sahihi kusema huyu Mbunge hana makosa.

"Jummanne" aliitwa "mhuni" aliyewaambia wananchi "nendeni jehanamu," akaja kukataliwa Dodoma Vijijini uchaguzi wa mwaka 1985, mpaka ikabidi wamfanyie gerrymandering ndio akaja kushinda baadae.

Bisha!
 
Si sahihi kusema huyu Mbunge hana makosa.

"Jummanne" aliitwa "mhuni" aliyewaambia wananchi "nendeni jehanamu," akaja kukataliwa Dodoma Vijijini uchaguzi wa mwaka 1985, mpaka ikabidi wamfanyie gerrymandering ndio akaja kushinda baadae.

Bisha!

Hahahahahahahaaaaaaaaaaaa, hillarious.
 
Back
Top Bottom