Ebwana naomba mtoto wake Mzee Malekela amwambie kwamba Mzee umechoka akakaye na mjukuu wake analiya.Au anaogopa atamtisha mjukuu?.Kama anaitwa tingatinga basi mwambie majembe yake yamekwisha anatakiwa mapumziko .Akipenda amwambie na Ngombale Mwiru waende pamoja .Hatumtaki Mtera tena na akianguka kwenye jukwaa akafunjika mguu basi hataungwa bali tutakata mguu kwani kachoka itabidi ccm iwakatie insurance hawa wazee.