sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Nawauliza CCM Stephen Wassira Nini hajafanya Tanzania kuanzia akiwa mbunge kwa umri wa miaka 23 mpaka Leo ana miaka 80 Bado anakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM? Hizi ni zalau
Vijana mlio kusanyika Dodoma kweli mkienda kumchagua Wasira for your future or kwa ajili ya wazee wenzie?
Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Real Samia Suluhu Hassani kabisa umekubali kumteua Wasira mwandishi wa ilani kuwa Makamu?
Hivi Samia utapata wapi nguvu za kumtuma Mzee wa kikurya akazunguke nchi nzima kuubiri kazi iendelee?
Vijana mlio kusanyika Dodoma kweli mkienda kumchagua Wasira for your future or kwa ajili ya wazee wenzie?
Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Real Samia Suluhu Hassani kabisa umekubali kumteua Wasira mwandishi wa ilani kuwa Makamu?
Hivi Samia utapata wapi nguvu za kumtuma Mzee wa kikurya akazunguke nchi nzima kuubiri kazi iendelee?