the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Hahaha, CCM ni jua la jioni soon inakwisha habari yakeCCM imeishiwa sera na viongozi ndo maana vizee vinaokotwa kuja kuokoa jahazi
HAhaha kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake ni suala la muda tuKumeanza kuchangamka sasa...
Haya yanayotokea ni mpango wa Mungu.Hahaha, CCM ni jua la jioni soon inakwisha habari yake
YEYE ANAKUBALI KILICHOFANYIKA DODOMA?Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210
Na Tanzania itabubujikwa na machozi ya furaha kama Lucas MwashambwaHaya yanayotokea ni mpango wa Mungu.
Wanashuka shimoni kwa kasi ya 6G
Huyo mjinga ameshikwa na fadhaa kubwa sana...Na Tanzania itabubujikwa na machozi ya furaha kama Lucas Mwashambwa
Mzee kajichokea na mipasho kama wamama wa buzaMakamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210
Huyu mzee anakuja na kauli za kitoto namna hii badala ya kutuambia watafanya nini kwa wàtanzania?Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210