Pre GE2025 Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Pre GE2025 Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama Wasira ana HOJA, zijibiwe.

Mfano, kuhusu kugombana kwa hoja,

Ile ndio DEMOKRASIA, kushikana masharti ni kuchangamka Kwa HOJA, bunge la uingereza pia joto hupanda na kufikia Hali hiyo,

Sasa CCM DEMOKRASIA hiyo hamna.
 

Attachments

  • Gorille_des_plaines_de_l'ouest_à_l'Espace_Zoologique.jpg
    Gorille_des_plaines_de_l'ouest_à_l'Espace_Zoologique.jpg
    167.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom