Pre GE2025 Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Pre GE2025 Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ajiandae kupigwa nondo
Wawe wanazijibu tu wasitegeme
Dola tu 😄

Ova
 
Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210
Maskin huyu mzee mwenye Ugonjwa wa sleeping sickness anaumwa hata hajui anacho ongea !! Alaf hichi kizaz Cha sa hiv kuwambia mambo ya mwalimu alisema as if mwalimu alikua Yesu au mtume hatutaki kabsaa kuskia hizo habar za mwalimu alisema ni very old fashion na barbaric way of life..
 
Lissu aweke akilini hayo masimango asijaribu kukanyaga ikulu akiwa ndani ya jezi ya upinzani ataonekana kaenda kuiba vikombe
 
Huyu anatakiwa kuwa makumbusho ya taifa, alimfaa sana Mzee Nyerere na wenzake kwa sasa keshaexpire unamwambiaje gen z upuuzi kama huu? Ikulu ikiibiwa maana yake walioiset hawana akili, wanajidhalilisha wenyewe. How high security area km ikulu iibiwe? Kwa kuwa wamezoea kuiba wanajua kila mtu mwizi
 
..labda Mzee Wassira alisinzia hakuweza kukesha kushuhudia matokeo ya Uchaguzi wa Chadema yakitangazwa kwa amani bila mitafaruku.
 
Simlaumu kabisa mzee Wasira ..namlaumu aliyemteua
 
Back
Top Bottom