Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Wanamtesa huyu mzeeMzee kachoka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamtesa huyu mzeeMzee kachoka sana.
Ni dhambi kumtesa huyu Babu.Wanamtesa huyu mzee
Maskin huyu mzee mwenye Ugonjwa wa sleeping sickness anaumwa hata hajui anacho ongea !! Alaf hichi kizaz Cha sa hiv kuwambia mambo ya mwalimu alisema as if mwalimu alikua Yesu au mtume hatutaki kabsaa kuskia hizo habar za mwalimu alisema ni very old fashion na barbaric way of life..Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210
Aliyemteua ndiye kachoka zaidiMzee kachoka sana.
Wapi TSPCA waingilie kati huu ukatili.Huyu arudishwe tu kwenye makazi yake ya asili kule hifadhi ya Gombe kumchanganya na binadamu ni udhalilishaji wa nyara za taifa.
Kutetea Chama ambacho hakijitetei chenyewe kwa matendo yake ni kazi ngumu sana.Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210
Kumbe anatambua CHADEMA wako mbioni kuingia Ikulu enhee?? Ni jambo jema na huo ndiyo ukweli wenyewe!Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA adai hawajashika dola lakini wanagombana na kushikana mashati je wakipelekwa ikulu si watagawana hadi vikombe?
View attachment 3211210