"Sisi, CCM sera yetu ya ki-socialist, nia yetu kubwa ni kwamba Wananchi wapate maisha mazuri zaidi na maisha mazuri unaweza kuyapata kwa mambo matano. kwanza tunataka kila mtu apate chakula cha kutosha, pili tunataka ikifika mahala mtu ajijengee nyumba na sisi tunamwekea umeme, na sisi tunaongoza katika Afrika kwa kusambaza umeme maana vijiji vyote vya Tanzania vina umeme...."
"Sisi, CCM sera yetu ya ki-socialist, nia yetu kubwa ni kwamba Wananchi wapate maisha mazuri zaidi na maisha mazuri unaweza kuyapata kwa mambo matano. kwanza tunataka kila mtu apate chakula cha kutosha, pili tunataka ikifika mahala mtu ajijengee nyumba na sisi tunamwekea umeme, na sisi tunaongoza katika Afrika kwa kusambaza umeme maana vijiji vyote vya Tanzania vina umeme...."
"Sisi, CCM sera yetu ya ki-socialist, nia yetu kubwa ni kwamba Wananchi wapate maisha mazuri zaidi na maisha mazuri unaweza kuyapata kwa mambo matano. kwanza tunataka kila mtu apate chakula cha kutosha, pili tunataka ikifika mahala mtu ajijengee nyumba na sisi tunamwekea umeme, na sisi tunaongoza katika Afrika kwa kusambaza umeme maana vijiji vyote vya Tanzania vina umeme...."