Pre GE2025 Wasira: Mabeberu na Vibaraka wao wanataka kuleta Ushoga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
haya maneno ya wasira ,labda CHADEMA ifungiwe mikutano ya hadhara
 
Hii verse bado ipogo tu? Wanatufanya manyani tu kama kawa
 
Watamshughulikia asipokuwa makini
 
Picha ya utotoni ya Mzee Wasira
 

Attachments

  • FB_IMG_1738421874362.jpg
    65.4 KB · Views: 2
Mbona hakuna Taifa ambalo sio kibaraka wa Mabeberu ishu ni kwamba hata hao Mabeberu wanashangaa kuona libeberu CCM linafanya kazi kubwa ambayo hata wao wasingeifanya kwa umaridadi huo ndio maana Mabeberu sasa watafanya juu chini CCM ibaki madarakani kwa kuwa ni wafanyanyi kazi nzuri zaidi ya Beberu. Shida sio kubwa kibaraka wa Beberu Tunataka Viongozi na CCM yao waamke kwenye huu ulafi na upofu walio nao kwasababu watanzania sahivi wameanza kuelewa black and white. Uzuri tumbo lililoshiba haliwezi kumtambua mwenye Njaa. Ni muda wa Watanzania na waafrika kuamka na kujipambania sisi wenyewe Walitutawala kwa nguvu tukazinduka wakatutawala na wanatutawala kwa akili ni muda sasa wa kuzinduka lasivo hii ndio itakuwa Destiny yetu mpaka kila mtu anafikia Mwisho wake.
 
Watu wameamua wenyewe kukalia msumari wa nyuma
 
Tujiulize kwa kina hawa chadema na kiongozi wao, NI KIPI KIPYA WANAWEZA KUTULETEA KATIKA TAIFA LETU? /OBVIOUSLY HAKUNA!, ZAIDI YA GHASIA TU.
una mentality duni kunako propaganda. Nani anataka ghasia?
 
Hayo umeyasema wewe, vipi kuhusu mama aliyesema mikopo anayokopa haiendi kushona sare za harusi?

Kwani kamala Harris alipokuja kumtembelea mama waliongea nini?
Hivi Kamala alikuwa anaunga mkono mashogo? Basi ndo maana aloshindwa uchaguzi !!
 
Uchaguzi uliopita (tamisemi) kama kuna sehemu ccm ilishinda ni chini ya 20%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…