Pre GE2025 Wasira: Othman, Lissu wasitafute mchawi kuzuiwa kuingia Angola. Serikali haisimamii Uwanja wa Angola

Pre GE2025 Wasira: Othman, Lissu wasitafute mchawi kuzuiwa kuingia Angola. Serikali haisimamii Uwanja wa Angola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====

1741964478118.png

Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
 
Wakuu,

Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?
Wasira hana akili kwa kweli.

Kwa hiyo Marekani leo Senator wa Democrats akizuiliwa uwanja wa ndege hawataingilia kati just because huku ni Tanzania na sio Marekani na wanaotawala ni Republicans?

Mbona anachochea mbegu mbaya sana ya kuwabagua watu kwa itikadi za kivyama?

Hajui Othman Masoud ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar? Haoni kwa cheo chake tu tukiacha kuwa ni mpinzani ilipaswa Serikali kutoa tamko la kulaani kitendo kile?

Hawa watu acha wajisahau hawajui kesho watakuwa wapinzani. Wanadhani watatawala milele.
 
Zeee la hovyo kama linavyoonekana.
Uwanja wa ndege hauzui mtu isipokuwa mamla zinazosimamia ambazo ni serikali ....
Haya ni maagizo ya serikali ya Angola na mwenye uwezo wa kuwasiliana nao ni serikali ya Tanzania.

Kwanza rais wa Angola ana sura kama ya Wasira kana vile ni mwanae
 
Wasira hana akili kwa kweli.

Kwa hiyo Marekani leo Senator wa Democrats akizuiliwa uwanja wa ndege hawataingilia kati just because huku ni Tanzania na sio Marekani na wanaotawala ni Republicans?

Mbona anachochea mbegu mbaya sana ya kuwabagua watu kwa itikadi za kivyama?

Hajui Othman Masoud ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar? Haoni kwa cheo chake tu tukiacha kuwa ni mpinzani ilipaswa Serikali kutoa tamko la kulaani kitendo kile?

Hawa watu acha wajisahau hawajui kesho watakuwa wapinzani. Wanadhani watatawala milele.
Tuna viongozi wapumbavu sana.
Wanajisahau kama NDUGAI
 
MPLA
TANU (CCM)
ZANU PF
ANC
FRELIMO

Hivi Vyama vina Urafiki wa Toka enzi..
 
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====


Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
waliozuiwa walidhaniiwa kua ni wanamgambo wa M23🐒
 
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====


Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
Kwanini CCM haikutuma delegates kwenye Jukwaa la Demokrasia? Labda tuanzie hapo!
 
Tshekedi kaamua kukaa nao chini
Ohoo maana ashaona serikali yKe na watu upande wao wamejaa wakata mauno,kaona isiwe tabu

Ova
na mazungumzo yanafanyika Angola na yanaongozwa na rais wa Angola chini ya ulinzi na umakini mkubwa sana,

waliozuiwa kuingia Angola walipaswa kujua hilo kabla, sio kujipeleka kama vibaka tu 🐒
 
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====


Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
Hili gendaeka nalo linaropoka nini huko linajikojolea ovyo ukikaa karibu yake ananuka mikojo tu.
 
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====


Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
Hili chawa halijafa?
 
Wakuu,

Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!

====


Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.

Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.

Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.

"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?

Mwananchi
 

Attachments

  • IMG-20250314-WA0025.jpg
    IMG-20250314-WA0025.jpg
    134.6 KB · Views: 1
  • IMG-20250313-WA0046.jpg
    IMG-20250313-WA0046.jpg
    177.6 KB · Views: 1
  • IMG-20250313-WA0042.jpg
    IMG-20250313-WA0042.jpg
    177.5 KB · Views: 1
Ningekua mtu wa karibu na wasira ningemshauri astaafu vinginevyo anaweza kuondoka katika mfumo kwa fedheha
 
Na hili suala ni la kimataifa yeye limemuhusu kwa nafasi ipi hadi alizungumzie? Awe na mipaka ya kuzungumza.
 
Back
Top Bottom