Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Waswahili nifahamisheni Gendaeka maana yake nini?Hili gendaeka nalo linaropoka nini huko linajikojolea ovyo ukikaa karibu yake ananuka mikojo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili nifahamisheni Gendaeka maana yake nini?Hili gendaeka nalo linaropoka nini huko linajikojolea ovyo ukikaa karibu yake ananuka mikojo tu.
Haichekeshi.waliozuiwa walidhaniiwa kua ni wanamgambo wa M23🐒
Marehemu wasiraWakuu,
Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!
====
Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.
Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.
Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania
Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.
"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?
Mwananchi
na viongozi wa chadema inasemekana wametumia jumla ya milioni 45 za tone tone kwa safari hiyo ya Angola, na utapeli wa kidigitali unaendelea muda huu 🐒Haichekeshi.
Eti huenda kuna jambo wanalitilia shaka....anazungumza kama shoga la TangaWakuu,
Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka!
====
Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amejitosa kwenye sakata hilo.
Wasira amesema kuwa kuzuiwa kwa viongozi hao na mamlaka za nchi za Angola, hawapaswi kutafuta mchawi wala kuinyooshea kidole Serikali ya Tanzania.
Pia soma ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania
Akizungumza leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwenye mkutano wa ndani uliofanyika Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wakati akianza ziara yake ya siku tatu mkoani humo, Wasira amesema kila nchi ina utaratibu wake ambao ni lazima uheshimiwe.
"Leo nimesoma kuna viongozi walikuwa wanaenda Angola, lakini wamenyang'anywa hati za kusafiria, huko ni Angola sio Tanzania, hapa hakuna aliyenyang’anywa hati yake na hata ikiisha muda wake tunawapa nyingine ili waende wanakotaka na kurudi salama.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Wanalalamika kwa nini Serikali imekaa kimya sasa kwani, sisi tunasimamia Uwanja wa Ndege wa Angola? Ule uwanja unasimamiwa na watu wa Angola, na huenda walikuwa na jambo ambalo wanalitilia shaka," amesema Wasira na kuongeza: “Sasa kuwaambia tu msiingie nchini kwetu kuna tatizo gani, si mrudi tu nyumbani?
Mwananchi
Narudia tena, haichekeshi. 🌈 Unakwama wapi?na viongozi wa chadema inasemekana wametumia jumla ya milioni 45 za tone tone kwa safari hiyo ya Angola, na utapeli wa kidigitali unaendelea muda huu 🐒
unatapeliwa na bado unakenua tu gentleman?🐒Narudia tena, haichekeshi. 🌈 Unakwama wapi?
Kuliko tunavyotapeliwa kwenye michango ya shuruti za mbio za mwenge?unatapeliwa na bado unakenua tu gentleman?🐒
wewe last week zimechangwa milioni 64, milioni 45 zimetumika kwa safari moja tu ya kwenda hapo Angola,Kuliko tunavyotapeliwa kwenye michango ya shuruti za mbio za mwenge?
Mbio za mwenge tumetapeliwa tukiwa wanafunzi wa shule ya msingi hadi na utu uzima huu, itakuwa hiyo tonetone ya wiki 2?wewe last week zimechangwa milioni 64, milioni 45 zimetumika kwa safari moja tu ya kwenda hapo Angola,
jitu limeng'ang'ana kudhulumiwa kidigitali, kama zuzu vile, dah!🐒
Mbona leo unachangia mada kwa maneno yasiyofaa kama mvuta bhangi? Jichunguze na ujirudi before 2 late!!Hili gendaeka nalo linaropoka nini huko linajikojolea ovyo ukikaa karibu yake ananuka mikojo tu.
sasa gentleman hiyo tone tone ya kutoa huku na kuishia kule si itakufanya uzeeke kwa stress sana?🐒Mbio za mwenge tumetapeliwa tukiwa wanafunzi wa shule ya msingi hadi na utu uzima huu, itakuwa hiyo tonetone ya wiki 2?
Nizeeke zaidi ya nilivyozeeshwa na michango ya mbio za mwenge tena bila ridhaa yangu?sasa gentleman hiyo tone tone ya kutoa huku na kuishia kule si itakufanya uzeeke kwa stress sana?🐒
kwa ridhaa ya waTanzania wote mambo ya kitaifa hufanyika, kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchiNizeeke zaidi ya nilivyozeeshwa na michango ya mbio za mwenge tena bila ridhaa yangu?
Niondolee upumbavu wako hapa.Mbona leo unachangia mada kwa maneno yasiyofaa kama mvuta bhangi? Jichunguze na ujirudi before 2 late!!
Nyara kutoka hifadhi ya GombeMarehemu wasira
Mpumbavu ni mama yako aliyekuzaa! Mbwa mkubwa!!Niondolee upumbavu wako hapa.
Tatizo la mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mwenge ndiyo maana huna adabu.Mpumbavu ni mama yako aliyekuzaa! Mbwa mkubwa!!
Hana adabu mama yako mzazi. One day YES!Tatizo la mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mwenge ndiyo maana huna adabu.