Pre GE2025 Wasira: Othman, Lissu wasitafute mchawi kuzuiwa kuingia Angola. Serikali haisimamii Uwanja wa Angola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtake radhi NDUGAI hapa hausiki .NDUGAI si muhimili wa dola tena alikwisha kacha mambo mitambo ..NCHI ITAUZWA HII KWA KUKOPA KOPA.
Ndugai alijisahau sana, ukafika wakati akamvua Lissu Ubunge, tena akiwa kwenye matibabu akadai Lissu anazurura Ulaya.
 
Walipoondoka kwenda angola waliiaga serikali? Hadi iingilie kati?
 
Sasa nani kamuuliza huyu zinja? Katembea na dawa kweli?
 
What if ccm wanahusika kwenye mchakato huo?..Unazijua vzr nchi sa kusini mwa bara la africa kwa ccm?
 
Huyu Mzee anaifanya ccm iendellee kuwa kero kadri siku zinaenda. NI mropokaji, haendani na umri wake
 
Huyu Mzee anaifanya ccm iendellee kuwa kero kadri siku zinaenda. NI mropokaji, haendani na umri wake
Na wewe mbona hapa unaropoka tu! Mwache aropoke wengine tunamsikiliza vizuri tu. Hiyo ndiyo demokrasia mkuu.
 
Wa kulaumiwa ni Samia kuteua mtu ambaye akili zake zinayumba kuwa makamu wake!
 
Kimsingi Mzee Wasira ni kiboko ya Wapinzani hawana hamu.nae maana hawakopeshi 😂😂
 
Reactions: UCD
Ni kweli ndio maana nataka nije nikuone unisaidie maisha mkuu. Si unajua tena sisi vijana kula kulala kwa shemeji zetu! Mtuvumilid tu mkuu!!
Haya shuka hapo kituo cha Kwa Mtogole then fuata hiyo barabara ya kulekea Sayansi ukifika hapo Polisi post kwa Alimaua A nikukute hapo hapo kituoni waambie wewe ni mgeni wa Baba Dulla watanipigia , sawa sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…