Pre GE2025 Wasira: Rais Samia aliita vyama vya Siasa, CHADEMA hawakuja kwenye maridhiano

Pre GE2025 Wasira: Rais Samia aliita vyama vya Siasa, CHADEMA hawakuja kwenye maridhiano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
"Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani aliita vyama kule Dodoma na nchi hii ina vyama 19 vilihudhuria vyama 18 kwenye huo mkutano.

"Na Rais alikuwa akizungumzia kuhusu 4R maridhiano. Na katika vyama hivyo CHADEMA haikuwepo.

"Na Rais akizungumzia kuwa na mfumo wa maridhiano ambao unawafanya vyama vyote viwe sehemu ya jamii. Na hoja ni hiyo kwamba Rais alitaka maridhiano"- Stephen Masato Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Bara.

Pia, Soma: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
 
Huyu Mzee angepumzika tu..sio kwa AIBU hii..hajui hata ACT Wazalendo waliohudhuria "kikao" hicho walisema 4R za Mh Rais zilikuwa ni Hadaa( Kupitia kwa KM wao)..APUUZWEE
 
"Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani aliita vyama kule Dodoma na nchi hii ina vyama 19 vilihudhuria vyama 18 kwenye huo mkutano.

"Na Rais alikuwa akizungumzia kuhusu 4R maridhiano. Na katika vyama hivyo CHADEMA haikuwepo.

"Na Rais akizungumzia kuwa na mfumo wa maridhiano ambao unawafanya vyama vyote viwe sehemu ya jamii. Na hoja ni hiyo kwamba Rais alitaka maridhiano"- Stephen Masato Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Bara.

Pia, Soma: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Huyu apuuzwe tu akili zake zimerudi kuwa za kitoto.
 
Back
Top Bottom