Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Politically bankrupt!!! Kwani kuvuta bangi kuna uhusiano gani na ubunge au busara kwa jumla? Hajui kuwa hata marais wa marekani akina Clinton, Bush na Obama walishavuta bangi?
Yaelekea Wassira anataka watu wamchambue maisha yake! Alafu adai ni udaku.
- Mwalimu vipi tena hapo? Yaaani Tanzania tuhalalishe kua na viongozi wavuta bangi kwa sababu marais wa US waliwahi kuwa wateja wa bangi? Eti kuna kiongozi anayevuta bangi na bado ana busara ya kuwaongoza wananchi? Wapi huko na ni nani huyo?
- Yaani sasa Great Thinkers tunaanza ku-endorse wavuta bangi bungeni? Hii hoja ya Waziri Wassira mbona kama ni nzito na ni valid. Halafu vipi hoja ya Waziri ikijibiwa kwa hoja, badala ya viroja?
Respect.
FMEs!
....hana lolote anaweza fanya zaidi ya kukaa bungeni…..
mzee FMes; unadhani sijui kuandika clearly kuwa "ninapendekeza sheria zetu zibadilishwe kusudi iwe halali kuvuta bangi ili kuwapa vijana nafasi ya kugombeai"? sishindwi kuandika hivyo, kwa hiyo sikuwa ninahalalisha kuvuta bangi kama unavyotaka kupotosha post yangu. Uvutaji bangi ni kosa la jinai, lakini ni jukumu la mahakama kutoa hukumu hiyo. Huwezi kusema kwa vile unadhani mtu fulani anavuta bangi basi hafai kuwa kiongozi wakati mahakama haijamwona na hatia hiyo ya kuvuta bangi. Nimetoa mifano ya watu waliowahi kuvuta bangi na wakakiri kufanya lakini hawakuonekana na hatia mbele ya mahakama hivyo waliweza kuwa marais wa merakani.
Mwambie ndugu yako mzee Wassira aache kugeneralize kuwa vijana wote ni wavuta bangi na kijana akishavuta bangu tu basi hafai kuwa kiongozi; huo ni udhalilishaji mbaya sana kwa vijana wetu ambao tunadai kuwa ndio wajenzi wa taifa hili. Kama yeye ana ushahidi kuwa vijana wote ni wavuta bangi basi awafikishe mahakamini ili wahukumiwe kisheria badala ya kutoa matusi kwa vijana wote nchini bila msingi wowote.
hivi kwa sasa hivi wasirra ni waziri katika ofisi ya prime minister na utawala wa mikoa na serikali za mitaa? hizi data/kumbukumbu zinatoka wapi? ndio maana wassira anaongelea wavuta bange miongoni mwetu.Wasira served as Deputy Minister of Agriculture in the first phase Government under President J.K.Nyerere and also served as the Deputy Minister for Local Government and later as the Minister of Agriculture and Livestock Development under second phase President A.H. Mwinyi
He was appointed as Minister of Water on January 4, 2006, when Jakaya Kikwete , who had been elected President, named his new cabinet. He was then moved to the position of Minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives on October 15, 2006, and on February 12, 2008 he was named Minister in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government.
hivi kwa sasa hivi wasirra ni waziri katika ofisi ya prime minister na utawala wa mikoa na serikali za mitaa? hizi data/kumbukumbu zinatoka wapi? ndio maana wassira anaongelea wavuta bange miongoni mwetu.
Education
Positions held
- BA in Economics, American University, in Washington, DC, USA.
- BA in Political Science, American University, in Washington, DC, USA.
- MA in Economics, American University, in Washington, DC, USA.
- Masters in Public Administration, American University, in Washington, DC, USA.
Member of Parliament - Mwibara Constituency 1970 - 1975
Deputy Minister of Agriculture 1972 - 1975
Regional Commissioner Mara Region 1975 - 1982
Minister Counselor at the Embassy of Tanzania, Washington, DC, USA - 1982 - 1985
Member of Parliament - Bunda Constituency 1985 - 1990
Deputy Minister for Local Government 1987 - 1989
Minister of Agriculture and Livestock Development 1989 - 1990
Regional Commissioner Coastal Region 1990 - 1991
Member of Parliament - Bunda Constituency 1995 - 1996
Member of Parliament - Bunda Constituency 2005 - Present
Minister for Water - January 2006 - October 2006
Minister of Agriculture, Food Security and Cooperatives - October 2006 - February 2008
Minister in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government - February 2008 - May 2009
Minister of Agriculture, Food Security and Cooperatives May 2008 - Present
source:http://en.wikipedia.org/wiki/stephen_wasira