othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Huyo kikongwe tangu lini akawa kisemeo cha watanzania, yeye aseme wana ccm wenzake sio watqnzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulizeni kwanini alihujumu shirika la GAPEX? kumtofautisha Wasira na wezi ni kazi sana.Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewajibu vikali wanaodai kuwa hakuna kilichofanyika tangu Tanzania ipate uhuru, akisema kuwa kauli hizo zinatokana na kutojua historia ya maendeleo ya nchi.
Akizungumza katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, Wasira amesema kuwa maendeleo yaliyofikiwa ni makubwa na yanaonekana wazi, huku akisisitiza kuwa CCM imeendelea kutekeleza maono ya ukombozi wa kisiasa na kiuchumi kutoka kwa vyama vilivyoasisi uhuru wa nchi- TANU na ASP.
"Wapo wanaosema miaka 60 hakijafanyika chochote, lakini ni kwa sababu hawajui wanachokisema. Mimi niliijua Tarime kabla ya uhuru, na leo hii Tarime ni tofauti kabisa. Watu wa Tarime wa sasa wanajua kusoma na kuandika, wana huduma bora za afya, na miundombinu imeimarika," amesema Wasira.
Ameendelea kueleza kuwa serikali ya CCM imeleta mabadiliko makubwa nchini, hasa ndani ya miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan, ikiwamo ujenzi wa madarasa mapya na vituo vya afya vyenye vifaa vya kisasa.
Wasira pia ameikosoa CHADEMA, akidai kuwa chama hicho hakina mshikamano wala ajenda zenye tija kwa wananchi.
"Juzi wamefanya mkutano Dar es Salaam, wamegawana fito. Mmoja kaenda na ya kwake, mwingine kaenda na ya kwake. Hicho ni chama kweli? Halafu wanakuja kuwaambia watu wa Tarime wawapigie kura kwa sababu gani?" amehoji Wasira.
Amewataka wananchi wa Tarime kuendelea kuiamini CCM kama chama pekee kinachotekeleza maendeleo ya kweli kwa Watanzania.
Ambacho haijui ni kuwa kama kungekua na Damu mpya hayo maendeleo yangekua mara dufu. Yeye ni old school, hawezi kuwa na mawazo ya mabadiriko miaka 81. Angepumzika awe anatoa maoni kupitia baraza la wazee wa CCMMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewajibu vikali wanaodai kuwa hakuna kilichofanyika tangu Tanzania ipate uhuru, akisema kuwa kauli hizo zinatokana na kutojua historia ya maendeleo ya nchi.
Akizungumza katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, Wasira amesema kuwa maendeleo yaliyofikiwa ni makubwa na yanaonekana wazi, huku akisisitiza kuwa CCM imeendelea kutekeleza maono ya ukombozi wa kisiasa na kiuchumi kutoka kwa vyama vilivyoasisi uhuru wa nchi- TANU na ASP.
"Wapo wanaosema miaka 60 hakijafanyika chochote, lakini ni kwa sababu hawajui wanachokisema. Mimi niliijua Tarime kabla ya uhuru, na leo hii Tarime ni tofauti kabisa. Watu wa Tarime wa sasa wanajua kusoma na kuandika, wana huduma bora za afya, na miundombinu imeimarika," amesema Wasira.
Ameendelea kueleza kuwa serikali ya CCM imeleta mabadiliko makubwa nchini, hasa ndani ya miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan, ikiwamo ujenzi wa madarasa mapya na vituo vya afya vyenye vifaa vya kisasa.
Wasira pia ameikosoa CHADEMA, akidai kuwa chama hicho hakina mshikamano wala ajenda zenye tija kwa wananchi.
"Juzi wamefanya mkutano Dar es Salaam, wamegawana fito. Mmoja kaenda na ya kwake, mwingine kaenda na ya kwake. Hicho ni chama kweli? Halafu wanakuja kuwaambia watu wa Tarime wawapigie kura kwa sababu gani?" amehoji Wasira.
Amewataka wananchi wa Tarime kuendelea kuiamini CCM kama chama pekee kinachotekeleza maendeleo ya kweli kwa Watanzania.
Chadema gani ya kukamata nchi?Huyu kikongwe anaogopa kufungwa kwa ufisadi aliofanya na CCM wenzake endapo CHADEMA watakamata nchi
Huyu anajua vizuri umafia wa CCM, alipoenda upinzani(1995) alishinda ubunge wa Bunda mjini, akafunguliwa kesi kupinga ushindi wake,akavuliwa ubunge nakufungiwa kugombea..kilichofata akarudi CCM! conclusion huyu mzee ni msaka tonge tuMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewajibu vikali wanaodai kuwa hakuna kilichofanyika tangu Tanzania ipate uhuru, akisema kuwa kauli hizo zinatokana na kutojua historia ya maendeleo ya nchi.
Akizungumza katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, Wasira amesema kuwa maendeleo yaliyofikiwa ni makubwa na yanaonekana wazi, huku akisisitiza kuwa CCM imeendelea kutekeleza maono ya ukombozi wa kisiasa na kiuchumi kutoka kwa vyama vilivyoasisi uhuru wa nchi- TANU na ASP.
"Wapo wanaosema miaka 60 hakijafanyika chochote, lakini ni kwa sababu hawajui wanachokisema. Mimi niliijua Tarime kabla ya uhuru, na leo hii Tarime ni tofauti kabisa. Watu wa Tarime wa sasa wanajua kusoma na kuandika, wana huduma bora za afya, na miundombinu imeimarika," amesema Wasira.
Ameendelea kueleza kuwa serikali ya CCM imeleta mabadiliko makubwa nchini, hasa ndani ya miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan, ikiwamo ujenzi wa madarasa mapya na vituo vya afya vyenye vifaa vya kisasa.
Wasira pia ameikosoa CHADEMA, akidai kuwa chama hicho hakina mshikamano wala ajenda zenye tija kwa wananchi.
"Juzi wamefanya mkutano Dar es Salaam, wamegawana fito. Mmoja kaenda na ya kwake, mwingine kaenda na ya kwake. Hicho ni chama kweli? Halafu wanakuja kuwaambia watu wa Tarime wawapigie kura kwa sababu gani?" amehoji Wasira.
Amewataka wananchi wa Tarime kuendelea kuiamini CCM kama chama pekee kinachotekeleza maendeleo ya kweli kwa Watanzania.
Hii propaganda uliyokuwa nayo toka ujanani hadi uzeeni imeshachuja. Naona ww bado imekuathiri bila kujua mambo yamebadilika. Ni sawa na kuendelea kutumia simu za button wakati watu wako kwenye touch screen.Kabisa hakuna sababu ya kuchagua chama chenye udini na ukabila!
KhaaaKama wapo wanaosema kuwa hakuna kilichofanyika wanaikosea sana CCM inamaana hata wizi wa kura hawauoni?.
Acha utani ,Mzee Mbowe aliharibu chama,mmpeni Lissu muda ajenge chama kitakachoweza kupewa madara by 2060Huyu kikongwe anaogopa kufungwa kwa ufisadi aliofanya na CCM wenzake endapo CHADEMA watakamata nchi
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewajibu vikali wanaodai kuwa hakuna kilichofanyika tangu Tanzania ipate uhuru, akisema kuwa kauli hizo zinatokana na kutojua historia ya maendeleo ya nchi.
Akizungumza katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, Wasira amesema kuwa maendeleo yaliyofikiwa ni makubwa na yanaonekana wazi, huku akisisitiza kuwa CCM imeendelea kutekeleza maono ya ukombozi wa kisiasa na kiuchumi kutoka kwa vyama vilivyoasisi uhuru wa nchi- TANU na ASP.
"Wapo wanaosema miaka 60 hakijafanyika chochote, lakini ni kwa sababu hawajui wanachokisema. Mimi niliijua Tarime kabla ya uhuru, na leo hii Tarime ni tofauti kabisa. Watu wa Tarime wa sasa wanajua kusoma na kuandika, wana huduma bora za afya, na miundombinu imeimarika," amesema Wasira.
Ameendelea kueleza kuwa serikali ya CCM imeleta mabadiliko makubwa nchini, hasa ndani ya miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan, ikiwamo ujenzi wa madarasa mapya na vituo vya afya vyenye vifaa vya kisasa.
Wasira pia ameikosoa CHADEMA, akidai kuwa chama hicho hakina mshikamano wala ajenda zenye tija kwa wananchi.
"Juzi wamefanya mkutano Dar es Salaam, wamegawana fito. Mmoja kaenda na ya kwake, mwingine kaenda na ya kwake. Hicho ni chama kweli? Halafu wanakuja kuwaambia watu wa Tarime wawapigie kura kwa sababu gani?" amehoji Wasira.
Amewataka wananchi wa Tarime kuendelea kuiamini CCM kama chama pekee kinachotekeleza maendeleo ya kweli kwa Watanzania.
KIla mwenye simu ya touch lazima pembeni awe na burton kiswaswadu je hilo unalizungumziaje!Hii propaganda uliyokuwa nayo toka ujanani hadi uzeeni imeshachuja. Naona ww bado imekuathiri bila kujua mambo yamebadilika. Ni sawa na kuendelea kutumia simu za button wakati watu wako kwenye touch screen.
Vilikoma.ukabila au udini wa chadema ulikoma makengeza alipong'olewa
Jamani jamani . . . .iiih looooh !Kama wapo wanaosema kuwa hakuna kilichofanyika wanaikosea sana CCM inamaana hata wizi wa kura hawauoni?.