Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
Chuo kikuu cha Dodoma( kwa kushirikiana na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela wamezindua Mradi wa Maabara ya akili Bandia (Artificial Intelligence) kwa Maendeleo ya Afrika
Mradi huu ni kama wa matumizi ya roboti ambao utalenga kutengeneza mashine ambazo zitakuwa zinafanya kazi za kutumia akili kama binadamu.
Mradi umezinduliwa na naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Mohammed Khamis katika ukumbi wa mikutano Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu Angavu
Hongera sana udom kwa jambo hilo kubwa kwenye teknologia ya sasa
Lakini wasiwasi wangu hadi nikaandika huu uzi
Je, haya mambo ya robotics hayatamaliza kabisa Ajira hata hizi chache zilizopo
Maan kama kitu kitaweza kufanya kazi kama binadamu maanake sasa kazi nyingi zitafanywa na robot
Au hii imekaaje wadau.
Mradi huu ni kama wa matumizi ya roboti ambao utalenga kutengeneza mashine ambazo zitakuwa zinafanya kazi za kutumia akili kama binadamu.
Mradi umezinduliwa na naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Mohammed Khamis katika ukumbi wa mikutano Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu Angavu
Hongera sana udom kwa jambo hilo kubwa kwenye teknologia ya sasa
Lakini wasiwasi wangu hadi nikaandika huu uzi
Je, haya mambo ya robotics hayatamaliza kabisa Ajira hata hizi chache zilizopo
Maan kama kitu kitaweza kufanya kazi kama binadamu maanake sasa kazi nyingi zitafanywa na robot
Au hii imekaaje wadau.