TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hapa wameona kuna pesa mahali kutoka hama serikalini au kwa wafadhiri a.k.a mabeberu so kitengo kimeanzishwa ili kuzikamata hizo pesa.
Walioanzisha hii kitu bado hawajawapa nafasi ya kutosha "hasa" ikiwa ni pamoja na kuenea mahali pote wanapoweza kuwajibika ilihali tayari AI wapo na wanatumika hata sasa duniani kote.
Tayari kwa visa vichache kutoka huko walipoanzisha wazo na hatimaye kuwa kweli hao AI wameonekana kuwa tishio kwa mustakabali wa real human life, kabla ya yote kama una bundled tuangalie hii sinema hapa chini.
Ni madhara kama ya covid japo huwezi kuyaona kwa karibu.
Walioanzisha hii kitu bado hawajawapa nafasi ya kutosha "hasa" ikiwa ni pamoja na kuenea mahali pote wanapoweza kuwajibika ilihali tayari AI wapo na wanatumika hata sasa duniani kote.
Tayari kwa visa vichache kutoka huko walipoanzisha wazo na hatimaye kuwa kweli hao AI wameonekana kuwa tishio kwa mustakabali wa real human life, kabla ya yote kama una bundled tuangalie hii sinema hapa chini.
Ni madhara kama ya covid japo huwezi kuyaona kwa karibu.