white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hilo jeshi limeundwa kwa sheria ipi? Tuanzie hapo kwanza!!!Kwanini uogope jeshi Kama huna nia mbaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jeshi limeundwa kwa sheria ipi? Tuanzie hapo kwanza!!!Kwanini uogope jeshi Kama huna nia mbaya?
Unauliza majibu si umeona mwenyewe au muulize LissuOk shinyanga wametohoa jina gani?
Lazima kuogopa, kwani yawezekana ndio wale wasiojulikana? Toka lini CCM wakawa na nia nzuri? Kama CCM ingekuwa na nia nzuri tusingekuwa hapa kwenye uchumi wa kati, tungekuwa uchumi wa kwanza.Kwanini uogope jeshi Kama huna nia mbaya?
Kwanini zamani hawakuletwa?Mgombea wenu hajui kama kuna sheria ya People's militia, hata hivyo kusaidia ulinzi wa mkutano wako ni kukandamiza wanyonge? Wakiwepo Polisi mkutanoni anawatukana ati wanatumika, wamemletea vijana wa jeshi la akiba wasio na silaha wawasaidie nao anawafukuza
Hawakuletwa sababu polisi hawakuwapo wa kutosha. Rais nae yupo Shinyanga ulitegemea nani awe na ulinzi wa Polisi wa kutosha kati yake na Rais?
tena wawalete kwa wingi tu jeshi la akiba ili msio na akiba ya ustaarabu kama nyie mkutane na jeshi la akiba...hapo sawa??
Hamna kitu hapo, huu ni uhuni mwengine wa ccm ktk sura hii.Vyombo hivi vipo miaka yote tena kisheria vikisimamiwa na jeshi la polisi maarufu kama Sungusungu au kwa Dar vinajulikana kama Ulinzi Shirikishi. Jeshi la Polisi kwa uchache wa askari haliwezi kuwa sehemu zote, hawa ni msaada mkubwa. Mfano ni wakati huu wa kampeni, Priority ya Polisi ni kulinda misafara na mikutano ya Magufuli ambaye mbali na ugombea yeye bado ni Rais
Hakuna cha jeshi la akiba wala nini hao ni wahalifu wa "green guards" wapo kazini.
Hawa ni vijana wa ccm waliokuwa wamewekwa kambini mwaka jana na mwaka huu...karibia kila wilaya Tanzania imetoa vijana wake kujiunga na mafunzo ya ukakamavu na medani za vita
Kumbe polisi hawakutosha kwanini serkal isiajiri vijana wengi waliokosa ajira hasa toka JKT. Kwanini iamue kutumia kikundi cha watu? Hela si zipo si makusanyo ya kodi ya me double sana kwnn ajira hamna?pesa znaenda wapi?Hawakuletwa sababu polisi hawakuwapo wa kutosha. Rais nae yupo Shinyanga ulitegemea nani awe na ulinzi wa Polisi wa kutosha kati yake na Rais?
Soma ulichoandikaHawakuletwa sababu polisi hawakuwapo wa kutosha. Rais nae yupo Shinyanga ulitegemea nani awe na ulinzi wa Polisi wa kutosha kati yake na Rais?
Kwanini uogope jeshi Kama huna nia mbaya?
Jeshi la akiba? ni katiba ipi inayoruhusu jeshi la akiba au ni sheria ipi inayohalalisha jeshi la akiba?
Katiba inampa Amiri Jeshi Mkuu mamlaka kuunda vikosi vya majeshi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi na usalama wa raia.
Tutajie hicho kifungu nasi tukisome mkuu
Hahahahhaha dah Rejea Ukubaliji Wa Dr Slaa Halafu utaambie maana ya kukubalikaTumeibiwa kuku, ng'ombe, mbuzi na kukwapuliwa simu hatujawahi kusikia wala kuona nguvu za jeshi la akiba. Kimsingi hawa sijui walikuwa wanaitwa Sungusungu au Mgambo lakini kwa nature ya kazi yao ilikuwa kupambana na uhalifu mdogo mdogo vijijini. Kwenye kampeni ziazoendelea jana wameibuka Shinyanga.
Swali la kujiuliza hivi polisi na jeshi la wanachi wamezidiwa hadi kuletwa jeshi la akiba. Tuko vitani na nani hadi sasa kuletwa jeshi lingine? Je, hii si mbinu ya kutengeneza makundi ya kijeshi ili kudhibiti upinzani na kuwatia watu hofu?
Hivi CCM kwanini wanataka kutuingiza katika sintofahamu? Mbona vyama vingine wao wamejikita kunadi sera na wao wanahaha kutafuta majeshi? Hofu ya CCM ni nini hasa?
Wito wangu ule msemo wa kufanya kampeni za kistaarabu kusiwe ni kupaka upepo matope bali uwe kwa vitendo. CCM wakinukisha hAta watoto wao nao watanukishiwa tu.
Janjajanja ndio maana Lissu na Membe wanakubalika.
Mkuu hiki Ni kikundi kilichoanzishwa na mbunge wa chadema Rachel Mashishanga kwa ajili ya kulinda usalama kwenye shughuli za chadema, Salome Makamba alivyoingia alikitelekeza, ndio kikaanza kufanyakazi huru, kimsingi Ni Mali ya chadema,Hili Jeshi ni rasmi?Mbona hatuwaoni kwenye mikutano ya CCM popote tangia kampeni zianze rasmi?Hawa ndiyo wasiojulikana?
CCM Mpya mnahofia kushindwa uchaguzi huu,ila Majeshi ya Akiba yameandaliwa kuwadhibiti wapinzani/Chadema.