Uchaguzi 2020 Wasiwasi wangu ni hili 'Jeshi la akiba' muda huu wa kampeni

Kwanini uogope jeshi Kama huna nia mbaya?
Lazima kuogopa, kwani yawezekana ndio wale wasiojulikana? Toka lini CCM wakawa na nia nzuri? Kama CCM ingekuwa na nia nzuri tusingekuwa hapa kwenye uchumi wa kati, tungekuwa uchumi wa kwanza.
 
Kwanini zamani hawakuletwa?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu hapo, huu ni uhuni mwengine wa ccm ktk sura hii.
 
Hawa ni vijana wa ccm waliokuwa wamewekwa kambini mwaka jana na mwaka huu...karibia kila wilaya Tanzania imetoa vijana wake kujiunga na mafunzo ya ukakamavu na medani za vita
Hilo ni kundi kubwa na hatari kabisa na halipaswi kupuuzwa hata siku moja...wamefanyiwa brainwash ya kutosha sana kuhusu upinzani

Kulikuwa na ratiba na bajeti maalum kwa ajili ya hayo makundi na walipelekwa kwenye makambi ya siri kwa wiki tatu tatu ...mwezu na nk
Bajeti ilijumuisha
Malipo kwa ajili ya wakufunzi
Chakula
Malazi
Mavazi
Vinywaji
Posho nknk
Vyanzo vya mapato vilikuwa toka kwa wafanyabiashara na wenye viwanda vikubwa na vya kati...hawa walipelekewa barua za kuomba michango ya hali na mali pamoja na bajeti....chochote kilipokelewa na michango iliratibiwa na makada wa ccm toka makao...
Hao vijana ni kundi kubwa na wameiva hasa...kuna hao wenye uniform lakini nyuma yao wana backup ya wasio na uniform na wamefunzwa kuwasiliana kwa lugha ishara na wanatambuana kwa ishara na kila mmoja ana code number yake....

USINIULIZE NIMEJUAJE[emoji848][emoji2827][emoji848][emoji2827][emoji848][emoji2827][emoji848][emoji2827]
 
Hawakuletwa sababu polisi hawakuwapo wa kutosha. Rais nae yupo Shinyanga ulitegemea nani awe na ulinzi wa Polisi wa kutosha kati yake na Rais?
Kumbe polisi hawakutosha kwanini serkal isiajiri vijana wengi waliokosa ajira hasa toka JKT. Kwanini iamue kutumia kikundi cha watu? Hela si zipo si makusanyo ya kodi ya me double sana kwnn ajira hamna?pesa znaenda wapi?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la akiba? ni katiba ipi inayoruhusu jeshi la akiba au ni sheria ipi inayohalalisha jeshi la akiba?

Katiba inampa Amiri Jeshi Mkuu mamlaka kuunda vikosi vya majeshi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi na usalama wa raia.
 
Katiba inampa Amiri Jeshi Mkuu mamlaka kuunda vikosi vya majeshi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi na usalama wa raia.


Tutajie hicho kifungu nasi tukisome mkuu
 
Sheria tunazijua vizuri hii hapa inatamka kuanzisha jeshi la akiba wakati wa vita sio wakati wa uchaguzi , Jiwe anajiaandaa kumwaga damu maana yeye bila kumwaga damu hajisikii
 
Hahahahhaha dah Rejea Ukubaliji Wa Dr Slaa Halafu utaambie maana ya kukubalika
 
Hili Jeshi ni rasmi?Mbona hatuwaoni kwenye mikutano ya CCM popote tangia kampeni zianze rasmi?Hawa ndiyo wasiojulikana?
CCM Mpya mnahofia kushindwa uchaguzi huu,ila Majeshi ya Akiba yameandaliwa kuwadhibiti wapinzani/Chadema.
Mkuu hiki Ni kikundi kilichoanzishwa na mbunge wa chadema Rachel Mashishanga kwa ajili ya kulinda usalama kwenye shughuli za chadema, Salome Makamba alivyoingia alikitelekeza, ndio kikaanza kufanyakazi huru, kimsingi Ni Mali ya chadema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…