Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu oryaa akiinua kichwa lazima mdomo ubaki wazi [emoji38][emoji38][emoji38]
Alivyoinua kichwa , mara paap yuko kwenye RED CARPET....Huyu oryaa akiinua kichwa lazima mdomo ubaki wazi [emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Weka picha mara paap akiwa mtaa
Unawajua wamachame?😂😂Hapo ni Sawa na wamasai na miguu miembamba.
😂😂😂😂😂😂Bora mawe, atalipuliwa na bomu
Utomaso huu 😃😃Uzi bila picha auna utamu
Ndio maumbile yao, na kwa mtazamo mwingine ni miujiza ya Mungu. Anakuumba kulingana na mazingira yako, Sasa sijui wasomaji (baadhi) wahenga wao waliishi mazingira gani, wakaumbwa hivyo.Hivi ni mimi tu labda au kuna mwingine aliyeliona hili kwa Wasomali na midomo yao kwamba haifungi, yaani saa zote meno ya mbele yanaonekana na ni wote, hata kama akifunga mdomo ni lazima meno ya mbele utayaona, …