Wasomali wana nia ya kuinyakua Kenya kwa kuzaliana?

Wasomali wana nia ya kuinyakua Kenya kwa kuzaliana?

Kwann wasibust kwao kuwa na vigorofa kadhaa ndo kubust uchumi

Ebu ongea kwa takwimu bana
Bro baada ya kuanguka serikali ya somalia wakubwa wote na wenye pesa zao walihamishia kenya. Kwa mtu aliyefika Nairobi miaka 1996 na leo anaweza kukuambia hasa mtaa ule wa Eastland ulivyokuwa na sasa. Msomali kwa namba kwa sasa ndie anamfuata mkikuyu kwa biashara kenya. Nenda popote kenya hukosi biashara ya Msomali.
 
Bro baada ya kuanguka serikali ya somalia wakubwa wote na wenye pesa zao walihamishia kenya. Kwa mtu aliyefika Nairobi miaka 1996 na leo anaweza kukuambia hasa mtaa ule wa Eastland ulivyokuwa na sasa. Msomali kwa namba kwa sasa ndie anamfuata mkikuyu kwa biashara kenya. Nenda popote kenya hukosi biashara ya Msomali.
unaweza kua sahihi
 
Bro baada ya kuanguka serikali ya somalia wakubwa wote na wenye pesa zao walihamishia kenya. Kwa mtu aliyefika Nairobi miaka 1996 na leo anaweza kukuambia hasa mtaa ule wa Eastland ulivyokuwa na sasa. Msomali kwa namba kwa sasa ndie anamfuata mkikuyu kwa biashara kenya. Nenda popote kenya hukosi biashara ya Msomali.
ohooo
 
Wasomali wamejipanga Kufikia 2050 kenya itakua somalia au itaongozwa na wasomali kwene kila nyanja.
Na itadi yao inaongezeka. Wana kauli yao ya kusema: “Nyie kazaneni na siasa sisi tunakazana kitandani”

Asante kwa mbinu zao za kuzaliana naona zina leta matunda.

View attachment 3100438
hao wasomali ni wakenya,na wana mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya kenya,lakini kwamba watainyakua kenya kwa idadi sio rahisi
 
hao wasomali ni wakenya,na wana mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya kenya,lakini kwamba watainyakua kenya kwa idadi sio rahisi
Vijana wanalalamika wasomali wanakuja hata kiswahili hawajui afu wakinunua gar au boda wanawachoma visu na kuwakata mapanga
 
Wasomali wana maendeleo gani??

Wasomali hela nyingi wanazizalisha kutokana na shughuli za ugaidi, uhalamia wa baharini,Uetekaji nk
Wakishapata izo hela ndio wanapeleka kenya kuzungushia kwene biashara au kuzitakatisha , zingine wanapeleka south Africa.

Eti wachapakazi!
Ebu tulia we kijakazi
Huyu ni mtz kwa kukurupuka
 
Back
Top Bottom